cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
LOL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
LOL.
Ha ha ha! Ni kama anasema: "T-shirt na kofia zenu ntavaa lakini kura yangu kwa mnyika na CHADEMA" na kweli tunaamini ametenda hivyo, si unamuona Mnyika mjengoni?
Hii ni kweli jamani?![]()
LOL.
Mtaani niliko ilikuwa maarufu sana hii. Siku ya kampeni za JK watu wakaamka asubuhi kwenda kuwahi T-shirt na Kofia na bendera.
Mkutano ulipoisha watu wako ndani ya uzi wa kijani na njano alafu vidole viwili juu. Acha FFU washuke kwenye magari. Mbona watu walitafutana.
Wenyewe wanasema, KODI YETU HII, WOte tunahaki ya kufaudu
![]()
LOL.