Nimekutaja hapo km mchumia tumbo na mtaka vyeo ww sio Mtz hujui adha ya watzMbona mimi Nipo kati ya Makundi hayo na asubuhi ntakua na kadi yangu mapema kumpigia Baba Lao Jpm Kura..kwanza Sio haja ya uchaguzi manake wapinzani wataaibika mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Citizen by Birth blaza...Mtz wa leo ana shida gani Elimu bure, mshahara kwa wakati, dawa za kutosha, wazee wamepewa vitambulisho vya matibabu, umeme mpaka vijijini nini wataka zaidi kakaNimekutaja hapo km mchumia tumbo na mtaka vyeo ww sio Mtz hujui adha ya watz
Kama mtahujumu uchaguzi sawa hata hivyo wewe siyo msemaji wa wapiga kuraJe nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.
Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.
Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.
Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.
Kwa heri Upinzani Tanzania.
Nyuma ya kauli hizi kuna mkakati,inaeleweka kuwa kwa tume huru ccm na chadema watagawana majimbo lkn kwakuwa upo mkakati chadema isipate jimbo hata ili kuifuta chadema basi suala la tume huru ni kitendawili kisichopendwa na ccm. Wapo tayari kuwagawia nccr majimbo ili tu chadema isiwepo ndani ya bunge na kwenye halmashauri. Wito kwa chadema ni kutokubali hili.Je nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.
Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.
Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.
Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.
Kwa heri Upinzani Tanzania.
Hizi ni porojo tu na kauli za kujifariji lkn wanajua kuwa wamepanga chadema isipate jimbo hata mojaJe nani asiyeona Maendeleo ya nchi yetu yanayosababishwa na Rais wetu anayetawala kupitia Chama Kikongwe barani Afrika na Dunia Chama cha Mapinduzi?kama huoni basi siwezi kukulaamu.ila uhalisia ni Rais aliyeleta maendeleo kwa Muda mfupi nani alikua na ndoto ya Kuona Airbus Ikimilikiwa na serikali yetu tena sio Moja nani alikua anajua ipo Siku Treni Ya umeme itajengwa Tanzania, Nani alikua na Ndoto ya Kuona Ujenzi wa Bwawa kubwa la Kufua umeme likijengwa Tanzania Likishindana na Aswan Dam, inga Dam, Kabora Bassa, Zambezi Dam..Nk haya ni Matunda ya Serikali ya awamu ya Tano chini ya Mtawala JPM.
Kwa sasa Upinzani wa Tanzania Upo ICU mashine zikichomolewa muda wowote wanazimika wamebaki Kulumbana wao kwa Wao kifupi hawana jipya mwisho wao umefika kwa kifupi wamekata Pumzi na Mbio ndio kwanza zipo mzunguko wa kwanza.Wamebaki wakisema Hakuna Demokrasia sio kweli wao demokrasia ya kweli ipo Sema wao wenyewe ndio watajifuta/watapoteana wenyewe, wamebaki na sera nyepesi Nyepesi ambazo hazina mashiko kwa mtu yeyote yule msomi yani wanafanya Cheap Politics.
Wamebaki Kulia wakisema ohoo tunaonewa wakati sio kweli wao wenyewe wamekosa mipango madhubuti ya kuwateka Watanzania wamekosa Sera madhubuti wanasubiri Kukosoa tu kifupi hawana Jipya.
Basi Tutarajie nini?Anguko kubwa sana la Wapinzani kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna hatari wasipate Mwakilishi hata Mmoja, Wawakilishi wote wakatoka CCm na kushuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yetu kama vile China au hata Cuba.
Kwa heri Upinzani Tanzania.