johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa ni wa aina yake sana na wale wanaotegemea kubebwa wajitathmini Kwa Upya
CCM Kwa mfano inaingia kwenye mchakato wa uchaguzi bila wastaafu Muhimu RIP Mkapa na RIP kadhalika Zanzibar inamkosa Kinara wa Siasa zake Maalim Seif RIP
Huu utakuwa kama uchaguzi wa Kambale ambapo hakunaga wa kumuogopa mwenzake kwenye level ya Ubunge na Udiwani
Wapinzani watashinda Ubunge na Udiwani kwenye Ngome zao huu ni Ukweli mchungu na watalinda Kura zao
Uchaguzi huu utatawaliwa na Wapiga kura wa Kizazi cha 2000, Vijana hawa hata wakipewaga Rushwa bado hufanya kile wanachokiamini vichwani mwao kwani wako connected sana
Narudia Kwa wale wabunge wa shujaa Magufuli akina Dr Kigwa na COVID 19 mkilipwa mafao yenu ya Ubunge nendeni mkaimarishe miradi yenu Msibet kurudi bungeni mtapoteza vyote
Baadae Mlale unono 😀
CCM Kwa mfano inaingia kwenye mchakato wa uchaguzi bila wastaafu Muhimu RIP Mkapa na RIP kadhalika Zanzibar inamkosa Kinara wa Siasa zake Maalim Seif RIP
Huu utakuwa kama uchaguzi wa Kambale ambapo hakunaga wa kumuogopa mwenzake kwenye level ya Ubunge na Udiwani
Wapinzani watashinda Ubunge na Udiwani kwenye Ngome zao huu ni Ukweli mchungu na watalinda Kura zao
Uchaguzi huu utatawaliwa na Wapiga kura wa Kizazi cha 2000, Vijana hawa hata wakipewaga Rushwa bado hufanya kile wanachokiamini vichwani mwao kwani wako connected sana
Narudia Kwa wale wabunge wa shujaa Magufuli akina Dr Kigwa na COVID 19 mkilipwa mafao yenu ya Ubunge nendeni mkaimarishe miradi yenu Msibet kurudi bungeni mtapoteza vyote
Baadae Mlale unono 😀