Wengine wanasema kuwa alitaka kuing'oa the green team kwa gharama yoyote. swali ni je Mamvi angeshinda mustakabali wa CDM ungekuwaje? Je sera ya Demokrasia na kupinga ufisadi ya CDM ingeendelea? Waelevu wanasema alikaribisha CC B ipambane na CC A huku CDM wakiwa wanasubiri nusu mkate ya uwaziri mkuu na ubunge.Mistake kubwa sana hii katika siasa za Mbowe!
Mbowe akigombea tena basi atakuwa ni Mrema typeNguvu aliyenayo Mbowe + msaada wa CCM na Dola ni nani wa KUMSHINDA?
Sasa mkiwaleta wanaharakati na waropokaji kina Lisu sio tuu mtapigwa ban Bali mnaweza kufutwa usajili maana hao watu Huwa hawatumii akili ila mihemko.View attachment 3152200
Huyu ndiye Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake.
==
Sasa ni dhahiri mnyukano mkali ndani ya CHADEMA kati ya mafahari wawili waliowahi kuwa wenyeviti wa Baraza la Vijana BAVICHA ngazi ya Taifa kwa vipindi na nyakati tofauti tofauti na wote wakionesha mageuzi makubwa ya kimfumo na kitaasisi hiyo mara hii wanaenda kupambana wakiwania kukuongoza chama hicho katika kipindi Cha miaka mitano ijayo kwa ngazi ya Taifa.
Freeman Mbowe akimtumia Benson Singo Kigaila Masalamakali na John Mrema kama wakuu wake wa itifaki kuelekea Uchaguzi huo ndani ya chama hicho wakati kwa Upande wa Heche akimtegemea zaidi Tundu Lissu kama mkuu wake wa itifaki akisaidiwa kwa karibu na John Mnyika, Boni Yai na wengine.
Freeman Mbowe anayekabiliwa na tuhuma lukuki zikiwemo za kupozwa na chama tawala ili CHADEMA iwe kama ilivyo sasa huku ikisadikiwa pia kuwa ni yeye aliyeruhusu wake za manaibu Katibu wakuu Salumu Mwalim na Benson Kigaila pamoja wenzao 17 kwenda kuapishwa Bungeni na aliyekuwa Spika wa Bunge wa wakati huo aliyejiuzuru Mhe Job Yustino Ndugai anatupa karata yake nyingine tena kukiongoza chama hicho kwa muhula mwingine wa nne mfufulizo.
Itakumbukwa ni Lissu, Mnyika na Heche pekee kwa muda mwingi ndio wamekuwa wakionesha misimamo dhabiti ya kuwagomea wamama hao 19 kurudi CHADEMA ambao hata hivyo baadhi yao wameanza kutafuta hifadhi CCM huku wengine wakiamini aliyewaruhusu kwenda kuapa Bungeni kwa siri anapashwa pia kuwarudisha chamani.
Freeman Mbowe mwanasiasa mzalendo kwa Taifa lake amekuwa kinara wa utulivu wa Upinzani kwa miongo Mitatu Sasa hasa akisalia kuwa mtu wa kupenda siasa za maridhiano na Chama Tawala Cha CCM kama ilivyo kwa majirani zetu wa Msumbiji na chama Chao kikuu Cha Upinzani rafiki CHADEMA Cha RENAMO kilichoshika nafasi ya tatu katika Uchaguzi wa hivi karibuni na huenda huko ndiko anakoelekea CHADEMA.
View attachment 3152201
Huyu ndiye John Heche anayetajwa kumrithi Freeman Mbowe.
John Heche mwanasiasa kijana mwenye mvuto wa aina yake hasa kwenye siasa za majukwaani anatajwa kuwa ndio Chaguo pekee na sahihi kwa Tundu Lissu, Mnyika na asilimia 70 ya kamati kuu ya chama hicho wakiamini ni mtu pekee anayeweza kurudisha imani ya wanachama na Wafuasi wa Chama hicho ambao wengi wao wanaonesha kukata na kukatishwa tamaa na mienendo ya Freeman Mbowe kwenye awamu hii ya sita.
Wakati haya yote yakiendelea wahafidhina ndani ya CHADEMA wanaamini chanzo cha chama hicho kuzorota Kwa Sasa na kushindwa vibaya kabla ya Uchaguzi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni matokeo ya aina ya uongozi wa Freeman Mbowe ambao ni uongozi wa kubembelezana na dola tofauti kwa ilivyo kwa Heche na Lissu wanaoamini zaidi dola inaweza kuchukuliwa kwa nguvu ya Umma tu na sio maridhiano kama anavyoamini Mzalendo Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muhula wake wa tatu.
Kwamantiki hiyo, Uchaguzi wa ngazi ya Taifa CHADEMA safari hii ni baina ya Siasa mpya za ukondoo za Freeman Mbowe na Siasa kali za John Heche na Tundu Lissu.
Kutafuta Nini?Unaonaje ukienda NCCR mageuzi
Heche ni sawaView attachment 3152200
Huyu ndiye Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake.
==
Sasa ni dhahiri mnyukano mkali ndani ya CHADEMA kati ya mafahari wawili waliowahi kuwa wenyeviti wa Baraza la Vijana BAVICHA ngazi ya Taifa kwa vipindi na nyakati tofauti tofauti na wote wakionesha mageuzi makubwa ya kimfumo na kitaasisi hiyo mara hii wanaenda kupambana wakiwania kukuongoza chama hicho katika kipindi Cha miaka mitano ijayo kwa ngazi ya Taifa.
Freeman Mbowe akimtumia Benson Singo Kigaila Masalamakali na John Mrema kama wakuu wake wa itifaki kuelekea Uchaguzi huo ndani ya chama hicho wakati kwa Upande wa Heche akimtegemea zaidi Tundu Lissu kama mkuu wake wa itifaki akisaidiwa kwa karibu na John Mnyika, Boni Yai na wengine.
Freeman Mbowe anayekabiliwa na tuhuma lukuki zikiwemo za kupozwa na chama tawala ili CHADEMA iwe kama ilivyo sasa huku ikisadikiwa pia kuwa ni yeye aliyeruhusu wake za manaibu Katibu wakuu Salumu Mwalim na Benson Kigaila pamoja wenzao 17 kwenda kuapishwa Bungeni na aliyekuwa Spika wa Bunge wa wakati huo aliyejiuzuru Mhe Job Yustino Ndugai anatupa karata yake nyingine tena kukiongoza chama hicho kwa muhula mwingine wa nne mfufulizo.
Itakumbukwa ni Lissu, Mnyika na Heche pekee kwa muda mwingi ndio wamekuwa wakionesha misimamo dhabiti ya kuwagomea wamama hao 19 kurudi CHADEMA ambao hata hivyo baadhi yao wameanza kutafuta hifadhi CCM huku wengine wakiamini aliyewaruhusu kwenda kuapa Bungeni kwa siri anapashwa pia kuwarudisha chamani.
Freeman Mbowe mwanasiasa mzalendo kwa Taifa lake amekuwa kinara wa utulivu wa Upinzani kwa miongo Mitatu Sasa hasa akisalia kuwa mtu wa kupenda siasa za maridhiano na Chama Tawala Cha CCM kama ilivyo kwa majirani zetu wa Msumbiji na chama Chao kikuu Cha Upinzani rafiki CHADEMA Cha RENAMO kilichoshika nafasi ya tatu katika Uchaguzi wa hivi karibuni na huenda huko ndiko anakoelekea CHADEMA.
View attachment 3152201
Huyu ndiye John Heche anayetajwa kumrithi Freeman Mbowe.
John Heche mwanasiasa kijana mwenye mvuto wa aina yake hasa kwenye siasa za majukwaani anatajwa kuwa ndio Chaguo pekee na sahihi kwa Tundu Lissu, Mnyika na asilimia 70 ya kamati kuu ya chama hicho wakiamini ni mtu pekee anayeweza kurudisha imani ya wanachama na Wafuasi wa Chama hicho ambao wengi wao wanaonesha kukata na kukatishwa tamaa na mienendo ya Freeman Mbowe kwenye awamu hii ya sita.
Wakati haya yote yakiendelea wahafidhina ndani ya CHADEMA wanaamini chanzo cha chama hicho kuzorota Kwa Sasa na kushindwa vibaya kabla ya Uchaguzi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni matokeo ya aina ya uongozi wa Freeman Mbowe ambao ni uongozi wa kubembelezana na dola tofauti kwa ilivyo kwa Heche na Lissu wanaoamini zaidi dola inaweza kuchukuliwa kwa nguvu ya Umma tu na sio maridhiano kama anavyoamini Mzalendo Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muhula wake wa tatu.
Kwamantiki hiyo, Uchaguzi wa ngazi ya Taifa CHADEMA safari hii ni baina ya Siasa mpya za ukondoo za Freeman Mbowe na Siasa kali za John Heche na Tundu Lissu.
😂😂Heche akishinda CCM watakaa mguu sawa.Heche hanaga mbamba za kutumwa na mwenyekiti wa CCM taifa kupeleka michango kanisani.
Akipita Heche nahidi kuwapasort ChademaView attachment 3152200
Huyu ndiye Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake.
==
Sasa ni dhahiri mnyukano mkali ndani ya CHADEMA kati ya mafahari wawili waliowahi kuwa wenyeviti wa Baraza la Vijana BAVICHA ngazi ya Taifa kwa vipindi na nyakati tofauti tofauti na wote wakionesha mageuzi makubwa ya kimfumo na kitaasisi hiyo mara hii wanaenda kupambana wakiwania kukuongoza chama hicho katika kipindi Cha miaka mitano ijayo kwa ngazi ya Taifa.
Freeman Mbowe akimtumia Benson Singo Kigaila Masalamakali na John Mrema kama wakuu wake wa itifaki kuelekea Uchaguzi huo ndani ya chama hicho wakati kwa Upande wa Heche akimtegemea zaidi Tundu Lissu kama mkuu wake wa itifaki akisaidiwa kwa karibu na John Mnyika, Boni Yai na wengine.
Freeman Mbowe anayekabiliwa na tuhuma lukuki zikiwemo za kupozwa na chama tawala ili CHADEMA iwe kama ilivyo sasa huku ikisadikiwa pia kuwa ni yeye aliyeruhusu wake za manaibu Katibu wakuu Salumu Mwalim na Benson Kigaila pamoja wenzao 17 kwenda kuapishwa Bungeni na aliyekuwa Spika wa Bunge wa wakati huo aliyejiuzuru Mhe Job Yustino Ndugai anatupa karata yake nyingine tena kukiongoza chama hicho kwa muhula mwingine wa nne mfufulizo.
Itakumbukwa ni Lissu, Mnyika na Heche pekee kwa muda mwingi ndio wamekuwa wakionesha misimamo dhabiti ya kuwagomea wamama hao 19 kurudi CHADEMA ambao hata hivyo baadhi yao wameanza kutafuta hifadhi CCM huku wengine wakiamini aliyewaruhusu kwenda kuapa Bungeni kwa siri anapashwa pia kuwarudisha chamani.
Freeman Mbowe mwanasiasa mzalendo kwa Taifa lake amekuwa kinara wa utulivu wa Upinzani kwa miongo Mitatu Sasa hasa akisalia kuwa mtu wa kupenda siasa za maridhiano na Chama Tawala Cha CCM kama ilivyo kwa majirani zetu wa Msumbiji na chama Chao kikuu Cha Upinzani rafiki CHADEMA Cha RENAMO kilichoshika nafasi ya tatu katika Uchaguzi wa hivi karibuni na huenda huko ndiko anakoelekea CHADEMA.
View attachment 3152201
Huyu ndiye John Heche anayetajwa kumrithi Freeman Mbowe.
John Heche mwanasiasa kijana mwenye mvuto wa aina yake hasa kwenye siasa za majukwaani anatajwa kuwa ndio Chaguo pekee na sahihi kwa Tundu Lissu, Mnyika na asilimia 70 ya kamati kuu ya chama hicho wakiamini ni mtu pekee anayeweza kurudisha imani ya wanachama na Wafuasi wa Chama hicho ambao wengi wao wanaonesha kukata na kukatishwa tamaa na mienendo ya Freeman Mbowe kwenye awamu hii ya sita.
Wakati haya yote yakiendelea wahafidhina ndani ya CHADEMA wanaamini chanzo cha chama hicho kuzorota Kwa Sasa na kushindwa vibaya kabla ya Uchaguzi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni matokeo ya aina ya uongozi wa Freeman Mbowe ambao ni uongozi wa kubembelezana na dola tofauti kwa ilivyo kwa Heche na Lissu wanaoamini zaidi dola inaweza kuchukuliwa kwa nguvu ya Umma tu na sio maridhiano kama anavyoamini Mzalendo Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muhula wake wa tatu.
Kwamantiki hiyo, Uchaguzi wa ngazi ya Taifa CHADEMA safari hii ni baina ya Siasa mpya za ukondoo za Freeman Mbowe na Siasa kali za John Heche na Tundu Lissu.
Lissu na Heche ni watu wenye misimamo mikali sana kitu ambacho CCM wanaogopa mnoNi muda sasa Mbowe awaachie wenzake kistaraabu na kuwaunga mkono kwa dhati kuendeleza chama. Hebu fikiria kama Chadema ingekuwa chini ya Lissu kuelekea 2025. Hizi ni faida:-
Chadema ingekuwa na misimamo thabiti.
Chadema ingekuwa na sera za kueleweka.
Asingekubali kurubuniwa na maridhiano, kwenda ikulu kupewa asali baada ya kutoka jela, kumkubali Sumaye na Lowassa.
Lissu asingekubali kuacha kudai katiba mpya mara baada ya kutoka jela na kukutana na SSH.
Chini ya Lissu naamini Chadema wasingekubali wagombea wao kuenguliwa na kubaki kimya. Pasingekalika.
Muhimu kuruhusu fikra mpya, wengine waongoze chama. Hiyo ndio demokrasia yenyewe. Angatuke kama Nyerere anaweza kuendelea kuwa Mshauri mkuu wa Chadema kama Nyerere alivyokuwa kwa CCM.
Mbowe hawezi kuachia Chama kabisaNi muda sasa Mbowe awaachie wenzake kistaraabu na kuwaunga mkono kwa dhati kuendeleza chama. Hebu fikiria kama Chadema ingekuwa chini ya Lissu kuelekea 2025. Hizi ni faida:-
Chadema ingekuwa na misimamo thabiti.
Chadema ingekuwa na sera za kueleweka.
Asingekubali kurubuniwa na maridhiano, kwenda ikulu kupewa asali baada ya kutoka jela, kumkubali Sumaye na Lowassa.
Lissu asingekubali kuacha kudai katiba mpya mara baada ya kutoka jela na kukutana na SSH.
Chini ya Lissu naamini Chadema wasingekubali wagombea wao kuenguliwa na kubaki kimya. Pasingekalika.
Muhimu kuruhusu fikra mpya, wengine waongoze chama. Hiyo ndio demokrasia yenyewe. Angatuke kama Nyerere anaweza kuendelea kuwa Mshauri mkuu wa Chadema kama Nyerere alivyokuwa kwa CCM.
Ngoja tuwaoneView attachment 3152200
Huyu ndiye Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake.
==
Sasa ni dhahiri mnyukano mkali ndani ya CHADEMA kati ya mafahari wawili waliowahi kuwa wenyeviti wa Baraza la Vijana BAVICHA ngazi ya Taifa kwa vipindi na nyakati tofauti tofauti na wote wakionesha mageuzi makubwa ya kimfumo na kitaasisi hiyo mara hii wanaenda kupambana wakiwania kukuongoza chama hicho katika kipindi Cha miaka mitano ijayo kwa ngazi ya Taifa.
Freeman Mbowe akimtumia Benson Singo Kigaila Masalamakali na John Mrema kama wakuu wake wa itifaki kuelekea Uchaguzi huo ndani ya chama hicho wakati kwa Upande wa Heche akimtegemea zaidi Tundu Lissu kama mkuu wake wa itifaki akisaidiwa kwa karibu na John Mnyika, Boni Yai na wengine.
Freeman Mbowe anayekabiliwa na tuhuma lukuki zikiwemo za kupozwa na chama tawala ili CHADEMA iwe kama ilivyo sasa huku ikisadikiwa pia kuwa ni yeye aliyeruhusu wake za manaibu Katibu wakuu Salumu Mwalim na Benson Kigaila pamoja wenzao 17 kwenda kuapishwa Bungeni na aliyekuwa Spika wa Bunge wa wakati huo aliyejiuzuru Mhe Job Yustino Ndugai anatupa karata yake nyingine tena kukiongoza chama hicho kwa muhula mwingine wa nne mfufulizo.
Itakumbukwa ni Lissu, Mnyika na Heche pekee kwa muda mwingi ndio wamekuwa wakionesha misimamo dhabiti ya kuwagomea wamama hao 19 kurudi CHADEMA ambao hata hivyo baadhi yao wameanza kutafuta hifadhi CCM huku wengine wakiamini aliyewaruhusu kwenda kuapa Bungeni kwa siri anapashwa pia kuwarudisha chamani.
Freeman Mbowe mwanasiasa mzalendo kwa Taifa lake amekuwa kinara wa utulivu wa Upinzani kwa miongo Mitatu Sasa hasa akisalia kuwa mtu wa kupenda siasa za maridhiano na Chama Tawala Cha CCM kama ilivyo kwa majirani zetu wa Msumbiji na chama Chao kikuu Cha Upinzani rafiki CHADEMA Cha RENAMO kilichoshika nafasi ya tatu katika Uchaguzi wa hivi karibuni na huenda huko ndiko anakoelekea CHADEMA.
View attachment 3152201
Huyu ndiye John Heche anayetajwa kumrithi Freeman Mbowe.
John Heche mwanasiasa kijana mwenye mvuto wa aina yake hasa kwenye siasa za majukwaani anatajwa kuwa ndio Chaguo pekee na sahihi kwa Tundu Lissu, Mnyika na asilimia 70 ya kamati kuu ya chama hicho wakiamini ni mtu pekee anayeweza kurudisha imani ya wanachama na Wafuasi wa Chama hicho ambao wengi wao wanaonesha kukata na kukatishwa tamaa na mienendo ya Freeman Mbowe kwenye awamu hii ya sita.
Wakati haya yote yakiendelea wahafidhina ndani ya CHADEMA wanaamini chanzo cha chama hicho kuzorota Kwa Sasa na kushindwa vibaya kabla ya Uchaguzi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni matokeo ya aina ya uongozi wa Freeman Mbowe ambao ni uongozi wa kubembelezana na dola tofauti kwa ilivyo kwa Heche na Lissu wanaoamini zaidi dola inaweza kuchukuliwa kwa nguvu ya Umma tu na sio maridhiano kama anavyoamini Mzalendo Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muhula wake wa tatu.
Kwamantiki hiyo, Uchaguzi wa ngazi ya Taifa CHADEMA safari hii ni baina ya Siasa mpya za ukondoo za Freeman Mbowe na Siasa kali za John Heche na Tundu Lissu.
Nafuu HecheView attachment 3152200
Huyu ndiye Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake.
==
Sasa ni dhahiri mnyukano mkali ndani ya CHADEMA kati ya mafahari wawili waliowahi kuwa wenyeviti wa Baraza la Vijana BAVICHA ngazi ya Taifa kwa vipindi na nyakati tofauti tofauti na wote wakionesha mageuzi makubwa ya kimfumo na kitaasisi hiyo mara hii wanaenda kupambana wakiwania kukuongoza chama hicho katika kipindi Cha miaka mitano ijayo kwa ngazi ya Taifa.
Freeman Mbowe akimtumia Benson Singo Kigaila Masalamakali na John Mrema kama wakuu wake wa itifaki kuelekea Uchaguzi huo ndani ya chama hicho wakati kwa Upande wa Heche akimtegemea zaidi Tundu Lissu kama mkuu wake wa itifaki akisaidiwa kwa karibu na John Mnyika, Boni Yai na wengine.
Freeman Mbowe anayekabiliwa na tuhuma lukuki zikiwemo za kupozwa na chama tawala ili CHADEMA iwe kama ilivyo sasa huku ikisadikiwa pia kuwa ni yeye aliyeruhusu wake za manaibu Katibu wakuu Salumu Mwalim na Benson Kigaila pamoja wenzao 17 kwenda kuapishwa Bungeni na aliyekuwa Spika wa Bunge wa wakati huo aliyejiuzuru Mhe Job Yustino Ndugai anatupa karata yake nyingine tena kukiongoza chama hicho kwa muhula mwingine wa nne mfufulizo.
Itakumbukwa ni Lissu, Mnyika na Heche pekee kwa muda mwingi ndio wamekuwa wakionesha misimamo dhabiti ya kuwagomea wamama hao 19 kurudi CHADEMA ambao hata hivyo baadhi yao wameanza kutafuta hifadhi CCM huku wengine wakiamini aliyewaruhusu kwenda kuapa Bungeni kwa siri anapashwa pia kuwarudisha chamani.
Freeman Mbowe mwanasiasa mzalendo kwa Taifa lake amekuwa kinara wa utulivu wa Upinzani kwa miongo Mitatu Sasa hasa akisalia kuwa mtu wa kupenda siasa za maridhiano na Chama Tawala Cha CCM kama ilivyo kwa majirani zetu wa Msumbiji na chama Chao kikuu Cha Upinzani rafiki CHADEMA Cha RENAMO kilichoshika nafasi ya tatu katika Uchaguzi wa hivi karibuni na huenda huko ndiko anakoelekea CHADEMA.
View attachment 3152201
Huyu ndiye John Heche anayetajwa kumrithi Freeman Mbowe.
John Heche mwanasiasa kijana mwenye mvuto wa aina yake hasa kwenye siasa za majukwaani anatajwa kuwa ndio Chaguo pekee na sahihi kwa Tundu Lissu, Mnyika na asilimia 70 ya kamati kuu ya chama hicho wakiamini ni mtu pekee anayeweza kurudisha imani ya wanachama na Wafuasi wa Chama hicho ambao wengi wao wanaonesha kukata na kukatishwa tamaa na mienendo ya Freeman Mbowe kwenye awamu hii ya sita.
Wakati haya yote yakiendelea wahafidhina ndani ya CHADEMA wanaamini chanzo cha chama hicho kuzorota Kwa Sasa na kushindwa vibaya kabla ya Uchaguzi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni matokeo ya aina ya uongozi wa Freeman Mbowe ambao ni uongozi wa kubembelezana na dola tofauti kwa ilivyo kwa Heche na Lissu wanaoamini zaidi dola inaweza kuchukuliwa kwa nguvu ya Umma tu na sio maridhiano kama anavyoamini Mzalendo Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muhula wake wa tatu.
Kwamantiki hiyo, Uchaguzi wa ngazi ya Taifa CHADEMA safari hii ni baina ya Siasa mpya za ukondoo za Freeman Mbowe na Siasa kali za John Heche na Tundu Lissu.
Mbowe hana nguvu kabisaView attachment 3152200
Huyu ndiye Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muda wake.
==
Sasa ni dhahiri mnyukano mkali ndani ya CHADEMA kati ya mafahari wawili waliowahi kuwa wenyeviti wa Baraza la Vijana BAVICHA ngazi ya Taifa kwa vipindi na nyakati tofauti tofauti na wote wakionesha mageuzi makubwa ya kimfumo na kitaasisi hiyo mara hii wanaenda kupambana wakiwania kukuongoza chama hicho katika kipindi Cha miaka mitano ijayo kwa ngazi ya Taifa.
Freeman Mbowe akimtumia Benson Singo Kigaila Masalamakali na John Mrema kama wakuu wake wa itifaki kuelekea Uchaguzi huo ndani ya chama hicho wakati kwa Upande wa Heche akimtegemea zaidi Tundu Lissu kama mkuu wake wa itifaki akisaidiwa kwa karibu na John Mnyika, Boni Yai na wengine.
Freeman Mbowe anayekabiliwa na tuhuma lukuki zikiwemo za kupozwa na chama tawala ili CHADEMA iwe kama ilivyo sasa huku ikisadikiwa pia kuwa ni yeye aliyeruhusu wake za manaibu Katibu wakuu Salumu Mwalim na Benson Kigaila pamoja wenzao 17 kwenda kuapishwa Bungeni na aliyekuwa Spika wa Bunge wa wakati huo aliyejiuzuru Mhe Job Yustino Ndugai anatupa karata yake nyingine tena kukiongoza chama hicho kwa muhula mwingine wa nne mfufulizo.
Itakumbukwa ni Lissu, Mnyika na Heche pekee kwa muda mwingi ndio wamekuwa wakionesha misimamo dhabiti ya kuwagomea wamama hao 19 kurudi CHADEMA ambao hata hivyo baadhi yao wameanza kutafuta hifadhi CCM huku wengine wakiamini aliyewaruhusu kwenda kuapa Bungeni kwa siri anapashwa pia kuwarudisha chamani.
Freeman Mbowe mwanasiasa mzalendo kwa Taifa lake amekuwa kinara wa utulivu wa Upinzani kwa miongo Mitatu Sasa hasa akisalia kuwa mtu wa kupenda siasa za maridhiano na Chama Tawala Cha CCM kama ilivyo kwa majirani zetu wa Msumbiji na chama Chao kikuu Cha Upinzani rafiki CHADEMA Cha RENAMO kilichoshika nafasi ya tatu katika Uchaguzi wa hivi karibuni na huenda huko ndiko anakoelekea CHADEMA.
View attachment 3152201
Huyu ndiye John Heche anayetajwa kumrithi Freeman Mbowe.
John Heche mwanasiasa kijana mwenye mvuto wa aina yake hasa kwenye siasa za majukwaani anatajwa kuwa ndio Chaguo pekee na sahihi kwa Tundu Lissu, Mnyika na asilimia 70 ya kamati kuu ya chama hicho wakiamini ni mtu pekee anayeweza kurudisha imani ya wanachama na Wafuasi wa Chama hicho ambao wengi wao wanaonesha kukata na kukatishwa tamaa na mienendo ya Freeman Mbowe kwenye awamu hii ya sita.
Wakati haya yote yakiendelea wahafidhina ndani ya CHADEMA wanaamini chanzo cha chama hicho kuzorota Kwa Sasa na kushindwa vibaya kabla ya Uchaguzi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni matokeo ya aina ya uongozi wa Freeman Mbowe ambao ni uongozi wa kubembelezana na dola tofauti kwa ilivyo kwa Heche na Lissu wanaoamini zaidi dola inaweza kuchukuliwa kwa nguvu ya Umma tu na sio maridhiano kama anavyoamini Mzalendo Freeman Mbowe Mwenyekiti anayemaliza muhula wake wa tatu.
Kwamantiki hiyo, Uchaguzi wa ngazi ya Taifa CHADEMA safari hii ni baina ya Siasa mpya za ukondoo za Freeman Mbowe na Siasa kali za John Heche na Tundu Lissu.
Wamefikia wapi?Watu wanakaribia kugawana mbao ndani ya Chagadema