Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kama wewe ni kijana na unaamini katika kulitumikia taifa kama diwani au Mbunge anza kujiandaa kwenda kugombea. Mfumo umebadilika na fikra zimebadilika. Wapiga kura sasa hivi ni vijana na vyama vimebaini umuhimu wa wagombea vijana
Kipenga kimepulizwa anzenu kujinoa, msiseme hakuna mtaji. Mtaji wa 2025 kutokana na hali ya uchumi ilivyo itakuwa ni wapiga kura na siyo kofia na kanga.
Usitafute fedha bali tafuta uungwaji mkono wa wapiga kura. Nendeni kwenye kata na majimbo taifa linawategemea. Bora kukosa ila ukajaribu.
Wakina Wasira kwa upepo huu hawatasimama majukwaani, vijana itabidi wawe jukwaani wazee wakae kimya wasiwakwaze vijana. Ahadi ya mzee haikubaliki
Kipenga kimepulizwa anzenu kujinoa, msiseme hakuna mtaji. Mtaji wa 2025 kutokana na hali ya uchumi ilivyo itakuwa ni wapiga kura na siyo kofia na kanga.
Usitafute fedha bali tafuta uungwaji mkono wa wapiga kura. Nendeni kwenye kata na majimbo taifa linawategemea. Bora kukosa ila ukajaribu.
Wakina Wasira kwa upepo huu hawatasimama majukwaani, vijana itabidi wawe jukwaani wazee wakae kimya wasiwakwaze vijana. Ahadi ya mzee haikubaliki