Uchaguzi wa chadema umetuonesha rangi halisi ya hawa wanaojiita wapinzani

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
Huu uchaguzi wa chadema umetuonesha jinsi gani hawa wanaojinasibisha watetezi wa wananchi wapo kwa ajili ya matumbo yao na si kwa ajili ya wananchi! Soka,mawazo,saa nane,mzee kibao, azory,mwangosi na wengine I feel sorry to you kumbe mlikuwa mnatumika as punching bag na hawa top layer wa chadema 🥺🥺🥺
 

Attachments

  • Screenshot_2025-01-20-19-40-58-163_com.facebook.katana.jpg
    284.5 KB · Views: 1
Wanatupiana madongo kwamba wote wanakula rushwa, halafu wanataka tuwape nchi wazuie rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…