joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuambia ni Kiswahili cha Kenya hicho, kila nchi ina Kiswahili chake[emoji23][emoji23][emoji23]dola tisa na si dola tisia! Hawa waandishi wa habari sijui wakoje!
Kenya ni tisa sio tisia. Huyo ng'ombe nimesikia akisema tisia hata mimi nikashangaa.Watakuambia ni Kiswahili cha Kenya hicho, kila nchi ina Kiswahili chake[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
dola tisa na si dola tisia! Hawa waandishi wa habari sijui wakoje!
Unazungumziaje kuhusu Kenya kutumia pesa nyingi katika uchaguzi kuzidi hata Marekani?Kenya ni tisa sio tisia. Huyo ng'ombe nimesikia akisema tisia hata mimi nikashangaa.
View attachment 2307821
MY TAKE; Hahahaha sababu GDP ya Kenya ni kubwa kuliko GDP zote duniani.
Tony254
dyfre
Don YF
Nicxie
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wenyewe wanaona ni sifa hiyo; ha ha ha.View attachment 2307821
MY TAKE; Hahahaha sababu GDP ya Kenya ni kubwa kuliko GDP zote duniani.
Tony254
dyfre
Don YF
Nicxie
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hhhhhh icho ndo kiswahili cha kenya tisia bhana na sio tisadola tisa na si dola tisia! Hawa waandishi wa habari sijui wakoje!
Hhhhhh icho ndo kiswahili cha kenya tisia bhana na sio tisa
Macho=Mato
Anaumia=yuwaumia
Nafurahi nikisia kiswahili cha kenya
Waganda wataishia kuzungumza Kiswahili cha kinyang'au wasipokuwa waangalifu.Eti hawa ndiyo wafundishe kiswahili Uganda.
😂 🤣 😂
kwa hivyo kwa akili yako mgando unaweza fikiri uchaguzi wa Kenya ni ghali kushinda ya Marekani?Unazungumziaje kuhusu Kenya kutumia pesa nyingi katika uchaguzi kuzidi hata Marekani?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huna akilikwa hivyo kwa akili yako mgando unaweza fikiri uchaguzi wa Kenya ni ghali kushinda ya Marekani?