Uchaguzi wa Kenya Wapiga Kura Wahama Sehemu Waliojiandikishia Kupiga Kura

Uchaguzi wa Kenya Wapiga Kura Wahama Sehemu Waliojiandikishia Kupiga Kura

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Uchaguzi mkuu wa Kenya unategemea kufanyika tarehe 8 August 2017 kuna dalili tosha kuwa sehemu kubwa ya upigaji kura wa wanahama sehemu walipoandikishiwa kupiga kura kwa sababu za kiusalama kuna baadhi ya makabila fulani wameanza kuhama kutoka sehemu ambapo wagombea wao hawana ushawishi katika eneo hilo, kwa mfano watu wa kutoka mikoa ya Nyanza na Magharibi wameanza kuhama kutoka mikoa ya kati ya Kenya, na watu wanaotoka mikoa ya kati wameanza kuhama kutoka mikoa ya Nyanza na Magharibi. Wimbi la watu kuhama litaleta dosari kwa kura za wagombea kwani mtu haruhusiwe kupiga kura sehemu ambapo hakuandikishiwa.

Mgombea wa NASA Raila Odinga amelalamika kwa wapiga kura wake wengi wanaamua kuondoka Jijini Nairobi. Hata wapiga kura wengi wenye asili ya kisomali wameondoka kwa wingi kutoka Nairobi kuelekea mikoa ya Kaskazini mashariki
 
Tatizo hujaweka chanzo, kama ni kweli basi ni jambo la kusikitisha, yaani demokrasia sio suluhu Afrika. Bora tuwe na dikteta atubake mpaka tutie akili.
Japo nafuu yetu ni kwamba familia mbili hizi, ya Kenyatta na Odinga ndio mara yao ya mwisho kuonekana kwenye siasa za mwisho. Walianza huu mtiti wao miaka ya zamani hata kabla ya wengine wetu kuzaliwa, watoto wao ndio hawa wanatupa tabu na naona watatuacha katika hali isiyo.

Lakini tukifaulu kuvuka bila vurugu, basi nch yetu itapaa.
 
Back
Top Bottom