Elections 2010 Uchaguzi wa mbunge Ludewa

lipa

New Member
Joined
Sep 8, 2010
Posts
2
Reaction score
0
Mimi ni mwenyeji wa wilaya ya Ludewa, mkoa mpya wa Njombe., lakini siishi huko. Wana Ludewa wenzangu, nimepata habari kuwa, mgombea ubunge aliyepita sasa aligawa kadi nyingi kwa wanafunzi wa shule za Manda, lakini mbunge anayemaliza muda wake alishinda sehemu zingine zote. Ushindi wa huyu mgombea mpya umetokana na hao wanafunzi. Kama ndiyo kweli alifanya hivi, kama atapita katika uchaguzi wa Oktoba, je tunajivunia tunaye mbunge? mimi nasema HAPANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…