Tafuta wakili bora.Una asilimia 99 za ushindi.Nimeshafungua jalada la kesi ...
na ushahidi nishakusanya tayari
Haiwezekani waliochaguliwa wote ni wale wabaya wenye sura za karafuu na maumbo ya pilipili manga. Halafu warembo halisi wenye sura na uzuri wa asili kama mie Mshangazi na miss Gf tukawekwa kapu moja.
Cha ajabu zaidi nilipotaka kuhoji nikapigwa ban siku 7 na uchaguzi ukaendelea.
Sio haki kabisa na kwa hilo nitafungua kesi ya kupinga matokeo mahakamani na ninamtaka Mama Abdul aingilie kati jambo hili ili haki itendeke.
MOVEMENT 4 CHANGE
Ok.Ikifikia pale wanapoimba..."wakati wa kuchanua,chanua chaaanuu chanu chanua waaaa"...!Wewe usichanue.Jidai unapokea simu.Sina ngoma japo mdundiko naucheza
Miss bantu!π€Mshangazi ushinde umiss uliona wapi?
πππHaiwezekani waliochaguliwa wote ni wale wabaya wenye sura za karafuu na maumbo ya pilipili manga. Halafu warembo halisi wenye sura na uzuri wa asili kama mie Mshangazi na miss Gf tukawekwa kapu moja.
Cha ajabu zaidi nilipotaka kuhoji nikapigwa ban siku 7 na uchaguzi ukaendelea.
Sio haki kabisa na kwa hilo nitafungua kesi ya kupinga matokeo mahakamani na ninamtaka Mama Abdul aingilie kati jambo hili ili haki itendeke.
MOVEMENT 4 CHANGE
Wakili wetu Msomi Peter KibatalaHaiwezekani waliochaguliwa wote ni wale wabaya wenye sura za karafuu na maumbo ya pilipili manga. Halafu warembo halisi wenye sura na uzuri wa asili kama mie Mshangazi na miss Gf tukawekwa kapu moja.
Cha ajabu zaidi nilipotaka kuhoji nikapigwa ban siku 7 na uchaguzi ukaendelea.
Sio haki kabisa na kwa hilo nitafungua kesi ya kupinga matokeo mahakamani na ninamtaka Mama Abdul aingilie kati jambo hili ili haki itendeke.
MOVEMENT 4 CHANGE
ππ You seem so sweet and beautiful oline, but isije ikawa kinyume chake, uzuri wa wanawake hapa JF kwa sie wanaume ni tako na sura, kama huna hivyo vigezo wala hutapewa kura za ushindi..!!π
Na kuhusu jinsi yake is just an hypothesis yet. π
-Kaveli-
Pole mkuuHaiwezekani waliochaguliwa wote ni wale wabaya wenye sura za karafuu na maumbo ya pilipili manga. Halafu warembo halisi wenye sura na uzuri wa asili kama mie Mshangazi na miss Gf tukawekwa kapu moja.
Cha ajabu zaidi nilipotaka kuhoji nikapigwa ban siku 7 na uchaguzi ukaendelea.
Sio haki kabisa na kwa hilo nitafungua kesi ya kupinga matokeo mahakamani na ninamtaka Mama Abdul aingilie kati jambo hili ili haki itendeke.
MOVEMENT 4 CHANGE