Huu sasa ni wehu, haiwezekani uongozi wa BUNGE la katiba agenda ya mwanamke iingie sasa, hizi ni hila za CHENGE na group lake baada ya kuona MH SITTA anaelekea kuwa mwenyekiti sasa anaingiza kipengele cha kudai mgawanyo wa jinsia, nakemea hili kwa jina la yesu