Kukemea ni sawa lakin kumbuka ile imepitishwa na wajumbe kwny kanu wanazotengeneza, mm naomba nikuulize ivi kuna IMPACT gan endapo atakuwa mwanamke au mwanaume, mm sioni madhara yoyote, cha kuomba MUNGU tu ni kuwa ataekuwa makamu mwenyekiti asiwe POLITICAL BASED.