johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hizi Ndio habari mpasuko nilizopenyezewa hivi punde kwamba Muungano wa Vyama vya Demokrasia Duniani utatuma Waangalizi wake kwenye Baraza Kuu la Chadema litakalochagua Mwenyekiti wa taifa
Ngoja niishie hapo nikiendelea kutafuta Uhakika huko Duniani
Jumaa Mubarak 😃
Ngoja niishie hapo nikiendelea kutafuta Uhakika huko Duniani
Jumaa Mubarak 😃