LGE2024 Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mzimuni Yamejirudia ya Mwaka wa 2020

LGE2024 Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mzimuni Yamejirudia ya Mwaka wa 2020

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA MZIMUNI YAMEJIRUDIA YA MWAKA WA 2020


Nimefika kituoni kwangu Magomeni Mapipa Shule ya Mzimuni kupiga kura saa tatu asubuhi na nilikutana na vurugu.

Kulikuwa na shutuma kuwa kuna kitabu cha wapiga kura kimeghushiwa na kuna watu wanalazimisha kitumike.

Wakati nateremka kwenye gari mtangazaji mmoja wa kituo cha TV akawa kaniona na akaja kunisalimu.

Anafika kwangu na mlalamikaji wa kitabu kilichodaiwa kughushiwa anafika akamwambia huyu kijana wa TV, "Ukimaliza kuzungumza na Mohamed njoo huku tukuonyeshe kitabu kilichoghushiwa kilichopenyezwa katika uchaguzi."

Nilipofika mlangoni kuingia chumba cha kupiga kura tayari chumba cha jirani watu walikuwa wanataka kuingiana maungoni.

Nimeingia ndani kupiga kura lakini sauti za vurugu nikawa bado nazisikia nje.

Nimeondoka kituoni nimeacha vurugu.

Ningeweza kuandika mengi niliyoelezwa na wagombea na wapiga kura kama mimi wa mtaa wangu lakini hii video inazungumza maneno 1000.

Inatosha kueleza yote.
Bado tunasafari ndefu.

Kiongozi aliyeingizwa madarakani kwa ghushi hana hadhi wala heshima na hawajibiki kwa yeyote kwa kuwa hakuchaguliwa na yeyote.

Ghushi ni jinai tusipuuze.
 
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA MZIMUNI YAMEJIRUDIA YA MWAKA WA 2020


Nimefika kituoni kwangu Magomeni Mapipa Shule ya Mzimuni kupiga kura saa tatu asubuhi na nilikutana na vurugu.

Kulikuwa na shutuma kuwa kuna kitabu cha wapiga kura kimeghushiwa na kuna watu wanalazimisha kitumike.

Wakati nateremka kwenye gari mtangazaji mmoja wa kituo cha TV akawa kaniona na akaja kunisalimu.

Anafika kwangu na mlalamikaji wa kitabu kilichodaiwa kughushiwa anafika akamwambia huyu kijana wa TV, "Ukimaliza kuzungumza na Mohamed njoo huku tukuonyeshe kitabu kilichoghushiwa kilichopenyezwa katika uchaguzi."

Nilipofika mlangoni kuingia chumba cha kupiga kura tayari chumba cha jirani watu walikuwa wanataka kuingiana maungoni.

Nimeingia ndani kupiga kura lakini sauti za vurugu nikawa bado nazisikia nje.

Nimeondoka kituoni nimeacha vurugu.

Ningeweza kuandika mengi niliyoelezwa na wagombea na wapiga kura kama mimi wa mtaa wangu lakini hii video inazungumza maneno 1000.

Inatosha kueleza yote.
Bado tunasafari ndefu.

Kiongozi aliyeingizwa madarakani kwa ghushi hana hadhi wala heshima na hawajibiki kwa yeyote kwa kuwa hakuchaguliwa na yeyote.

Ghushi ni jinai tusipuuze.
Hakuna kilichojirudia, Machadema mumepigwa za uso Sasa mnatafuta kichaka Cha kuhamishia udhaifu wenu Kwa kusingizia Serikali.

Bahati mbaya sana hata mwakani yule Mbunge wenu 1 hawezi kurudi tena Bungeni amepoteza ushawishi Kwa watu na waliompigiaha kura ni ccm ambao walichukizwa na Mbunge wa awali.
.kwingine sioni ni wapi mtashinda labda mitandaoni humu Huwa mnaongiza Kwa Mafuriko.
 
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA MZIMUNI YAMEJIRUDIA YA MWAKA WA 2020


Nimefika kituoni kwangu Magomeni Mapipa Shule ya Mzimuni kupiga kura saa tatu asubuhi na nilikutana na vurugu.

Kulikuwa na shutuma kuwa kuna kitabu cha wapiga kura kimeghushiwa na kuna watu wanalazimisha kitumike.

Wakati nateremka kwenye gari mtangazaji mmoja wa kituo cha TV akawa kaniona na akaja kunisalimu.

Anafika kwangu na mlalamikaji wa kitabu kilichodaiwa kughushiwa anafika akamwambia huyu kijana wa TV, "Ukimaliza kuzungumza na Mohamed njoo huku tukuonyeshe kitabu kilichoghushiwa kilichopenyezwa katika uchaguzi."

Nilipofika mlangoni kuingia chumba cha kupiga kura tayari chumba cha jirani watu walikuwa wanataka kuingiana maungoni.

Nimeingia ndani kupiga kura lakini sauti za vurugu nikawa bado nazisikia nje.

Nimeondoka kituoni nimeacha vurugu.

Ningeweza kuandika mengi niliyoelezwa na wagombea na wapiga kura kama mimi wa mtaa wangu lakini hii video inazungumza maneno 1000.

Inatosha kueleza yote.
Bado tunasafari ndefu.

Kiongozi aliyeingizwa madarakani kwa ghushi hana hadhi wala heshima na hawajibiki kwa yeyote kwa kuwa hakuchaguliwa na yeyote.

Ghushi ni jinai tusipuuze.
Mzee Saidi.
Serikali imegeuka genge la magaidi dhidi ya wananchi
 
Magufuli alifanya kazi nzuri sana lakini kupanda hii mbegu ya kunyakua uchaguzi haikua sawa!!
Nchi ni yetu wote kama mtu anachagulia atangazw3 yaishe!!! Huu haukua uchaguzi na ushauri wangu kwa CCM bora muache kutumia hela zote hizi kwamba mnafanya uchaguzi huu ni utapeli wa hadharani kabisa hela zike tuitumie kwa mambo ya msingi!!

MBowe wewe sio mpinzani acha kuwachuuza watu wanadhani uko nao kumbe mzee hauko nao hiyo mnaita kamati kuu mnatoa taarifa zote kwa kila neno mnajadili uhuni ushenzi acheni utapeli
 
Magufuli alifanya kazi nzuri sana lakini kupanda hii mbegu ya kunyakua uchaguzi haikua sawa!!
Nchi ni yetu wote kama mtu anachagulia atangazw3 yaishe!!! Huu haukua uchaguzi na ushauri wangu kwa CCM bora muache kutumia hela zote hizi kwamba mnafanya uchaguzi huu ni utapeli wa hadharani kabisa hela zike tuitumie kwa mambo ya msingi!!

MBowe wewe sio mpinzani acha kuwachuuza watu wanadhani uko nao kumbe mzee hauko nao hiyo mnaita kamati kuu mnatoa taarifa zote kwa kila neno mnajadili uhuni ushenzi acheni utapeli
Kwa nini haikuwa uchaguzi? Wapinzani wakishinda kwako ndio uchaguzi au?

Mbona hamsemi kwamba mumekataliwa na watu?

Huko walikoshinda Wapinzani hivyo viti vichache ilikuaje?

Huu ujinga utazisi kuwafuta kweysiasa za Tanzania nyie Wapinzani kama hamtabadilika na kama hamtaki endeleeni kushinda mitandaoni.

Mwisho pesa ni sehemu ya uchaguzi,utafanya uchagani bila pesa? Huwa unafuatilia uchaguzi wa Kenya au USA uone pesa inavyotumika?
 
Sauti za watu hazijawahi enda bureee, huwezi hujumu uchaguzi ukabaki salama
 
Mnaizungumzia sana Chadema CCM endeleeni kufanya mnachokiona ni sawa.
 
Achaneni na Chadema mnawaona wananchi hawana maana fanyeni mambo yenu kibabe
 
Back
Top Bottom