LGE2024 Uchaguzi wa serikali za mitaa ulipaswa usimamiwe na Halmashauri za wilaya, miji na majiji, sio TAMISEMI au Tume ya taifa ya uchaguzi

LGE2024 Uchaguzi wa serikali za mitaa ulipaswa usimamiwe na Halmashauri za wilaya, miji na majiji, sio TAMISEMI au Tume ya taifa ya uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huu uchaguzi haukupaswa kusimamiwa ngazi ya kitaifa kupitia TAMISEMI kama vile ambavyo imekuwa inafanyika au hata kupitia Tume Taifa ya uchaguzi kama ambavyo CHADEMA wanahitaji kuwa hivyo.

Huu uchaguzi ulipaswa kusimamiwa na Halmashauri za wilaya, miji na majiji kila moja ikifanya hivyo kwa wakati wake ndani ya miezi mitatu. Huo ndio ugatuzi wa madaraka na maana ya serikali za mitaa. Tofauti na hapo ni hadaa tu.

Soma Pia: CHADEMA yapinga uchaguzi wa serikali za mitaa kusimamiwa na Tamisemi
 
Back
Top Bottom