LGE2024 Uchaguzi wa tarehe 27 November tunaenda kumchagua nani kama wagombea wengine wameenguliwa?

LGE2024 Uchaguzi wa tarehe 27 November tunaenda kumchagua nani kama wagombea wengine wameenguliwa?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Organic Live Food

Senior Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
127
Reaction score
236
Wana Jf habari za kwenu.

Tulihimizwa sana tujiandikishe na elimu ikatolewa kwa wingi sana. Tulielewa tulioelewa tukajiandikisha
Sasa tunahimizwa tukashiriki uchaguzi tukawachague viongozi tunaowataka

Swali: Tunaenda kumchagua nani kama wagombea wanaenguliwa?

Binafsi nimepoteza matumaini namuonea huruma kijana anaepambana kusifia hata pakukemea.

Soma Pia:

Namuonea huruma mzalendo aliebaki anayejitahidi kutufumbua macho maovu yanayondelea.

Kumbuka hili kuna kikundi cha watu kimejimilikisha hii nchi. Mateso hayataisha ewe chawa.
 
Wana Jf habari za kwenu.
Tulihimizwa sana tujiandikishe na elimu ikatolewa kwa wingi sana.
Tuliewa tulioelewa tukajiandikisha
Sasa tunahimizwa tukashiriki uchaguzi tukawachague viongozi tunaowataka

Swali: Tunaenda kumchagua nani kama wagombea wanaenguliwa?

Binafsi nimepoteza matumaini namuonea huruma kijana anaepambana kusifia hata pakukemea.
Namuonea huruma mzalendo aliebaki anayehitahidi kufumbua macho maovu yanayondelea.

Kumbuka hili kuna kikundi cha watu kimejimilikisha hii nchi. Mateso hayataisha ewe chawa.
Huu ujumbe uwafikie chawa wote. Mambo yanayo endelea yanaumiza sana na kiukweli yanaleta chuki mioyoni wa wazalendo.
 
Wakuu wameshupaza shingo naiogopa siku watanzania watakapoanza kuchinjana barabarani kama kenya miaka ile.
 
Back
Top Bottom