Kikao cha Kamati ya utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kilichofanyika leo jijini Dar kikiongozwa na Rais wa TFF, Wallace Karia kimepitisha rasmi Uchaguzi mkuu wa TFF utafanyika tarehe 07/08/2021.
Hivi Unaweza Kuamini Kwamba Kombe La FA Simba Mechi Zote amechezea Home na Yanga Mechi Zote Alikuwa anacheza Away? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]