Uchambuzi: Athari ya Habari za "Tanzanite"

Uchambuzi: Athari ya Habari za "Tanzanite"

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Wakuu Umofia Kwenu! Yajayo yanaumiza!

Nimesoma taarifa iliyokua kwenye Gazeti la Tanzanite na Nimevumilia lakini Nikaona nifanye uchambuzi Wenye hoja chache tu. Hoja hizi zinaongozwa na Uzalendo na sio Ukada wala Ukamanda. Nitashukuru kama wote tutakaosoma Mjadala huu tutasimama kwenye misingi hio pia. Picha yeye Tarehe na kichwa cha Habari nimeambatanisha hapa chini.

Tanzanite "CHADEMA wajifunza Ujasusi Libya"

Gazeti hili limeandika vyema kabisa lakini mambo Kama haya yanahitaji kutolewa ufafanuzi na Vyombo husika ili kulinda hadhi ya nchi, baadhi ya athari ya hoja Kama hizi zimebebwa hapa chini.

Moja, kauli Kama hizi zinaweza kuleta utata au mgogoro wa Kidiplomasia Kati ya nchi na nchi. Kwa Vyombo husika kutokukemea jambo hili basi huenda watu wakaamini kuwa Ubalozi wa Libya nchini Tanzania na Libya kwa ujumla inahusika kuihujumu Tanzania. Kwa kuwa hadi Leo hii taarifa hii haijakanushwa, je Itakua ni Sahihi kwa Wageni wengine kuamini jambo hili? Leo hii Libya ikitutaka kutoa vielelezo tutakua na ushahidi? Tutaishia kwenye mgogoro mkubwa wa Kidiplomasia.

Pili, Athari Za Kiuchumi kwa Taifa zaweza kuwa mbaya kutokana na Gazeti hili kuwajengea Picha mbaya Wawekezaji kuwa Tanzania ina magenge ya kijasusi au Kwa maneno mengine Tanzania sio nchi rafiki Kwa ajili ya Wawekezaji na Wadau wa kibiashara au conclusively kuwa Usalama wa Tanzania ni mdogo. Hadi Leo hii, hakuna chombo chochote cha kiserikali kilichotoa tamko kuhusu jambo hili, maana yake ni kwamba tumekubaliana na jambo hili, tutawafukuza watalii na Wawekezaji, trust me!

Tatu, Je, tuna Jeshi dhaifu? Ndio, maana kwa mujibu wa article hio ni kwamba Jeshi na Vyombo vyetu vya kiintelijensia vimeshindwa Kutambua jambo hili na kulidhibiti hadi sasa jambo hili linaporipotiwa na Gazeti lenye Usajili halali wa Serikali. La, jeshi letu sio dhaifu basi tungeweza kudhibiti Majasusi hayo nasema.

Suala la Nne, ni uhalali wa taarifa hii! Je imelenga kujenga au kubomoa? Naam, kwa juu juu utaona lengo la Mwandishi ni kuichafua CHADEMA lakini ukweli Katika muktadha huu, tumeichafua nchi.

Suala la tano, kwa kuweka picha ya Wangwe na Ben Saanane tunalenga nini? Tunaziumiza familia za Wapendwa Watanzania WENZETU waliopoteza ndugu zao. Hao ni Akina Baba, ni Wajomba, Marafiki, Wazazi wa Watanzania WENZETU. Leo hii ukikuta picha ya Mpendwa wako ambaye ametoweshwa hujui alipo, unaikuta kwenye ukurasa huo utajisikiaje? Huu ndio uzalendo wetu? Huu ndio Utanzania wetu? Kumbuka, Likimpata mwenzao na wewe Muda wako Utafika.

Ikitokea Mwekezaji, Mfanyabiashara au mtu mwingine yoyote akatekwa, akashambuliwa, akavamiwa basi mtu atakayekuwa amesoma taarifa ya Gazeti hili Kwa Jicho la tofauti Kamwe hataweza kufikiria CHADEMA Bali Serikali nzima.

Kumbuka, huko Duniani hakuna CCM wala CHADEMA Bali kuna Tanzania, ni vyema Sana tukadhibiti haya mambo kungali mapema maana tutakimbiwa na Potential Investors!! Ni investor gani atakuja kuwekeza kwenye nchi yenye Usalama mdogo na Majasusi kibao?

Wakati tukidhani tunaiumiza CHADEMA tuifikirie na Tanzania. I stand to be correct.

Elli
Kijito Upele - Zanzibar
IMG_20181007_172911.jpeg
 
TANZANIA hamnaga serious Newspapers ukiondowa mwananchi anae jitahidi sana tena ni kampuni ya Kenya.....sijui nyie mda wakusoma udaku huwo mnautoa wapi?.......hata ukisoma headlines nakiliomo ndani nivitu viwili tofouti.
Wakuu Umofia Kwenu! Yajayo yanaumiza!

Nimesoma taarifa iliyokua kwenye Gazeti la Tanzanite na Nimevumilia lakini Nikaona nifanye uchambuzi Wenye hoja chache tu. Hoja hizi zinaongozwa na Uzalendo na sio Ukada wala Ukamanda. Nitashukuru kama wote tutakaosoma Mjadala huu tutasimama kwenye misingi hio pia. Picha yeye Tarehe na kichwa cha Habari nimeambatanisha hapa chini.

Tanzanite "CHADEMA wajifunza Ujasusi Libya"

Gazeti hili limeandika vyema kabisa lakini mambo Kama haya yanahitaji kutolewa ufafanuzi na Vyombo husika ili kulinda hadhi ya nchi, baadhi ya athari ya hoja Kama hizi zimebebwa hapa chini.

Moja, kauli Kama hizi zinaweza kuleta utata au mgogoro wa Kidiplomasia Kati ya nchi na nchi. Kwa Vyombo husika kutokukemea jambo hili basi huenda watu wakaamini kuwa Ubalozi wa Libya nchini Tanzania na Libya kwa ujumla inahusika kuihujumu Tanzania. Kwa kuwa hadi Leo hii taarifa hii haijakanushwa, je Itakua ni Sahihi kwa Wageni wengine kuamini jambo hili? Leo hii Libya ikitutaka kutoa vielelezo tutakua na ushahidi? Tutaishia kwenye mgogoro mkubwa wa Kidiplomasia.

Pili, Athari Za Kiuchumi kwa Taifa zaweza kuwa mbaya kutokana na Gazeti hili kuwajengea Picha mbaya Wawekezaji kuwa Tanzania ina magenge ya kijasusi au Kwa maneno mengine Tanzania sio nchi rafiki Kwa ajili ya Wawekezaji na Wadau wa kibiashara au conclusively kuwa Usalama wa Tanzania ni mdogo. Hadi Leo hii, hakuna chombo chochote cha kiserikali kilichotoa tamko kuhusu jambo hili, maana yake ni kwamba tumekubaliana na jambo hili, tutawafukuza watalii na Wawekezaji, trust me!

Tatu, Je, tuna Jeshi dhaifu? Ndio, maana kwa mujibu wa article hio ni kwamba Jeshi na Vyombo vyetu vya kiintelijensia vimeshindwa Kutambua jambo hili na kulidhibiti hadi sasa jambo hili linaporipotiwa na Gazeti lenye Usajili halali wa Serikali. La, jeshi letu sio dhaifu basi tungeweza kudhibiti Majasusi hayo nasema.

Suala la Nne, ni uhalali wa taarifa hii! Je imelenga kujenga au kubomoa? Naam, kwa juu juu utaona lengo la Mwandishi ni kuichafua CHADEMA lakini ukweli Katika muktadha huu, tumeichafua nchi.

Suala la tano, kwa kuweka picha ya Wangwe na Ben Saanane tunalenga nini? Tunaziumiza familia za Wapendwa Watanzania WENZETU waliopoteza ndugu zao. Hao ni Akina Baba, ni Wajomba, Marafiki, Wazazi wa Watanzania WENZETU. Leo hii ukikuta picha ya Mpendwa wako ambaye ametoweshwa hujui alipo, unaikuta kwenye ukurasa huo utajisikiaje? Huu ndio uzalendo wetu? Huu ndio Utanzania wetu? Kumbuka, Likimpata mwenzao na wewe Muda wako Utafika.

Ikitokea Mwekezaji, Mfanyabiashara au mtu mwingine yoyote akatekwa, akashambuliwa, akavamiwa basi mtu atakayekuwa amesoma taarifa ya Gazeti hili Kwa Jicho la tofauti Kamwe hataweza kufikiria CHADEMA Bali Serikali nzima.

Kumbuka, huko Duniani hakuna CCM wala CHADEMA Bali kuna Tanzania, ni vyema Sana tukadhibiti haya mambo kungali mapema maana tutakimbiwa na Potential Investors!! Ni investor gani atakuja kuwekeza kwenye nchi yenye Usalama mdogo na Majasusi kibao?

Wakati tukidhani tunaiumiza CHADEMA tuifikirie na Tanzania. I stand to be correct.

Elli
Kijito Upele - Zanzibar View attachment 896055
 
Pamoja na hayo, Tukiendelea kupuuzia Tutaishia pabaya siku moja. Kwakua tu tumeamua Kusema ni udaku au Upuuzi!

Siku moja kijijini kulikua na mtoto wa makamo ya Kijana, kila siku au tuseme kila baada ya Wakati Fulani angetoka nje nyakati za jioni au Pindi anaporejea kijijini mwao na kupiga "mwao" kuashiria kuwa amevamiwa na Chui, wanakijiji wanatoka na silaha wakifika hawamuoni Chui, wanampuuzia wanarudi bila kumpa Onyo.

Siku ya siku akavamiwa na Chui sasa, akapiga kelele za kuomba Msaada lakini watu wakajua ni mchezo ule ule, wakapuuzia. Akaliwa na Chui!

Na hadithi yangu ikaishia hapo.
TANZANIA hamnaga serious Newspapers ukiondowa mwananchi anae jitahidi sana tena ni kampuni ya Kenya.....sijui nyie mda wakusoma udaku huwo mnautoa wapi?.......hata ukisoma headlines nakiliomo ndani nivitu viwili tofouti.
 
Well analysis
Wakuu Umofia Kwenu! Yajayo yanaumiza!

Nimesoma taarifa iliyokua kwenye Gazeti la Tanzanite na Nimevumilia lakini Nikaona nifanye uchambuzi Wenye hoja chache tu. Hoja hizi zinaongozwa na Uzalendo na sio Ukada wala Ukamanda. Nitashukuru kama wote tutakaosoma Mjadala huu tutasimama kwenye misingi hio pia. Picha yeye Tarehe na kichwa cha Habari nimeambatanisha hapa chini.

Tanzanite "CHADEMA wajifunza Ujasusi Libya"

Gazeti hili limeandika vyema kabisa lakini mambo Kama haya yanahitaji kutolewa ufafanuzi na Vyombo husika ili kulinda hadhi ya nchi, baadhi ya athari ya hoja Kama hizi zimebebwa hapa chini.

Moja, kauli Kama hizi zinaweza kuleta utata au mgogoro wa Kidiplomasia Kati ya nchi na nchi. Kwa Vyombo husika kutokukemea jambo hili basi huenda watu wakaamini kuwa Ubalozi wa Libya nchini Tanzania na Libya kwa ujumla inahusika kuihujumu Tanzania. Kwa kuwa hadi Leo hii taarifa hii haijakanushwa, je Itakua ni Sahihi kwa Wageni wengine kuamini jambo hili? Leo hii Libya ikitutaka kutoa vielelezo tutakua na ushahidi? Tutaishia kwenye mgogoro mkubwa wa Kidiplomasia.

Pili, Athari Za Kiuchumi kwa Taifa zaweza kuwa mbaya kutokana na Gazeti hili kuwajengea Picha mbaya Wawekezaji kuwa Tanzania ina magenge ya kijasusi au Kwa maneno mengine Tanzania sio nchi rafiki Kwa ajili ya Wawekezaji na Wadau wa kibiashara au conclusively kuwa Usalama wa Tanzania ni mdogo. Hadi Leo hii, hakuna chombo chochote cha kiserikali kilichotoa tamko kuhusu jambo hili, maana yake ni kwamba tumekubaliana na jambo hili, tutawafukuza watalii na Wawekezaji, trust me!

Tatu, Je, tuna Jeshi dhaifu? Ndio, maana kwa mujibu wa article hio ni kwamba Jeshi na Vyombo vyetu vya kiintelijensia vimeshindwa Kutambua jambo hili na kulidhibiti hadi sasa jambo hili linaporipotiwa na Gazeti lenye Usajili halali wa Serikali. La, jeshi letu sio dhaifu basi tungeweza kudhibiti Majasusi hayo nasema.

Suala la Nne, ni uhalali wa taarifa hii! Je imelenga kujenga au kubomoa? Naam, kwa juu juu utaona lengo la Mwandishi ni kuichafua CHADEMA lakini ukweli Katika muktadha huu, tumeichafua nchi.

Suala la tano, kwa kuweka picha ya Wangwe na Ben Saanane tunalenga nini? Tunaziumiza familia za Wapendwa Watanzania WENZETU waliopoteza ndugu zao. Hao ni Akina Baba, ni Wajomba, Marafiki, Wazazi wa Watanzania WENZETU. Leo hii ukikuta picha ya Mpendwa wako ambaye ametoweshwa hujui alipo, unaikuta kwenye ukurasa huo utajisikiaje? Huu ndio uzalendo wetu? Huu ndio Utanzania wetu? Kumbuka, Likimpata mwenzao na wewe Muda wako Utafika.

Ikitokea Mwekezaji, Mfanyabiashara au mtu mwingine yoyote akatekwa, akashambuliwa, akavamiwa basi mtu atakayekuwa amesoma taarifa ya Gazeti hili Kwa Jicho la tofauti Kamwe hataweza kufikiria CHADEMA Bali Serikali nzima.

Kumbuka, huko Duniani hakuna CCM wala CHADEMA Bali kuna Tanzania, ni vyema Sana tukadhibiti haya mambo kungali mapema maana tutakimbiwa na Potential Investors!! Ni investor gani atakuja kuwekeza kwenye nchi yenye Usalama mdogo na Majasusi kibao?

Wakati tukidhani tunaiumiza CHADEMA tuifikirie na Tanzania. I stand to be correct.

Elli
Kijito Upele - Zanzibar View attachment 896055
 
Uko tayari kupambana na "state organs" hayo magazeti ni propaganda toals kwa organs fulani
Pamoja na hayo, Tukiendelea kupuuzia Tutaishia pabaya siku moja. Kwakua tu tumeamua Kusema ni udaku au Upuuzi!

Siku moja kijijini kulikua na mtoto wa makamo ya Kijana, kila siku au tuseme kila baada ya Wakati Fulani angetoka nje nyakati za jioni au Pindi anaporejea kijijini mwao na kupiga "mwao" kuashiria kuwa amevamiwa na Chui, wanakijiji wanatoka na silaha wakifika hawamuoni Chui, wanampuuzia wanarudi bila kumpa Onyo.

Siku ya siku akavamiwa na Chui sasa, akapiga kelele za kuomba Msaada lakini watu wakajua ni mchezo ule ule, wakapuuzia. Akaliwa na Chui!

Na hadithi yangu ikaishia hapo.
 
Mapambano gani tena? Ukisoma mwanzoni kabisa nilisema Sitakua na Upande! Nimezungumza tu Kwa mtazamo wangu, siko tayari kwa Mapambano na mtu au watu wowote wale.
Uko tayari kupambana na "state organs" hayo magazeti ni propaganda toals kwa organs fulani
 
Mapambano gani tena? Ukisoma mwanzoni kabisa nilisema Sitakua na Upande! Nimezungumza tu Kwa mtazamo wangu, siko tayari kwa Mapambano na mtu au watu wowote wale.


Pole kwa kusoma hilo gazeti. Ukitaka kujua viongozi wetu wanawaza nini na uwezo wao wa kisiasa unaishia wapi basi angalia hilo gazeti linaandika nini. Sasa hivi kuna udhibiti wa vyombo vya habari nini kiandikwe kwamba eti kusiandikwe uzushi na vyombo kadhaa vimeshafungiwa kwa kuandika ukweli unaowaumiza watawala. Sasa ukiona uzushi kama huo unaandikwa na kisha kuachwa basi jua mhariri ni kiongozi wako mkuu na hizo ndio aina ya siasa zake.

Ukiona mtu anajifungia na hasafiri kwenda popote akakutane na mitazamo ya kidunia basi jua utaaongozwa kipuuzi. Yeye kaamua kuishi ndani ya box na anahakikisha wote waishi na kuwaza ndani ya box. Hakuna nchi itahoji hicho kilichoandikwa na hili gazeti kwakuwa wanajua kuanzia kiongozi wetu mpaka sisi wananchi tunaishi zama za giza hivyo wametupuuza. Na pia napenda kukupongeza kwa kusoma hilo gazeti lililobeba uwezo wa viongozi wako kwenye kuongoza.
 
Wakuu Umofia Kwenu! Yajayo yanaumiza!

Nimesoma taarifa iliyokua kwenye Gazeti la Tanzanite na Nimevumilia lakini Nikaona nifanye uchambuzi Wenye hoja chache tu. Hoja hizi zinaongozwa na Uzalendo na sio Ukada wala Ukamanda. Nitashukuru kama wote tutakaosoma Mjadala huu tutasimama kwenye misingi hio pia. Picha yeye Tarehe na kichwa cha Habari nimeambatanisha hapa chini.

Tanzanite "CHADEMA wajifunza Ujasusi Libya"

Gazeti hili limeandika vyema kabisa lakini mambo Kama haya yanahitaji kutolewa ufafanuzi na Vyombo husika ili kulinda hadhi ya nchi, baadhi ya athari ya hoja Kama hizi zimebebwa hapa chini.

Moja, kauli Kama hizi zinaweza kuleta utata au mgogoro wa Kidiplomasia Kati ya nchi na nchi. Kwa Vyombo husika kutokukemea jambo hili basi huenda watu wakaamini kuwa Ubalozi wa Libya nchini Tanzania na Libya kwa ujumla inahusika kuihujumu Tanzania. Kwa kuwa hadi Leo hii taarifa hii haijakanushwa, je Itakua ni Sahihi kwa Wageni wengine kuamini jambo hili? Leo hii Libya ikitutaka kutoa vielelezo tutakua na ushahidi? Tutaishia kwenye mgogoro mkubwa wa Kidiplomasia.

Pili, Athari Za Kiuchumi kwa Taifa zaweza kuwa mbaya kutokana na Gazeti hili kuwajengea Picha mbaya Wawekezaji kuwa Tanzania ina magenge ya kijasusi au Kwa maneno mengine Tanzania sio nchi rafiki Kwa ajili ya Wawekezaji na Wadau wa kibiashara au conclusively kuwa Usalama wa Tanzania ni mdogo. Hadi Leo hii, hakuna chombo chochote cha kiserikali kilichotoa tamko kuhusu jambo hili, maana yake ni kwamba tumekubaliana na jambo hili, tutawafukuza watalii na Wawekezaji, trust me!

Tatu, Je, tuna Jeshi dhaifu? Ndio, maana kwa mujibu wa article hio ni kwamba Jeshi na Vyombo vyetu vya kiintelijensia vimeshindwa Kutambua jambo hili na kulidhibiti hadi sasa jambo hili linaporipotiwa na Gazeti lenye Usajili halali wa Serikali. La, jeshi letu sio dhaifu basi tungeweza kudhibiti Majasusi hayo nasema.

Suala la Nne, ni uhalali wa taarifa hii! Je imelenga kujenga au kubomoa? Naam, kwa juu juu utaona lengo la Mwandishi ni kuichafua CHADEMA lakini ukweli Katika muktadha huu, tumeichafua nchi.

Suala la tano, kwa kuweka picha ya Wangwe na Ben Saanane tunalenga nini? Tunaziumiza familia za Wapendwa Watanzania WENZETU waliopoteza ndugu zao. Hao ni Akina Baba, ni Wajomba, Marafiki, Wazazi wa Watanzania WENZETU. Leo hii ukikuta picha ya Mpendwa wako ambaye ametoweshwa hujui alipo, unaikuta kwenye ukurasa huo utajisikiaje? Huu ndio uzalendo wetu? Huu ndio Utanzania wetu? Kumbuka, Likimpata mwenzao na wewe Muda wako Utafika.

Ikitokea Mwekezaji, Mfanyabiashara au mtu mwingine yoyote akatekwa, akashambuliwa, akavamiwa basi mtu atakayekuwa amesoma taarifa ya Gazeti hili Kwa Jicho la tofauti Kamwe hataweza kufikiria CHADEMA Bali Serikali nzima.

Kumbuka, huko Duniani hakuna CCM wala CHADEMA Bali kuna Tanzania, ni vyema Sana tukadhibiti haya mambo kungali mapema maana tutakimbiwa na Potential Investors!! Ni investor gani atakuja kuwekeza kwenye nchi yenye Usalama mdogo na Majasusi kibao?

Wakati tukidhani tunaiumiza CHADEMA tuifikirie na Tanzania. I stand to be correct.

Elli
Kijito Upele - Zanzibar View attachment 896055
Kwanza kuihusisha Libya na ufadhili wa mafunzo tuu .Inaonyesha ukichaa wa muandishi .yaani Libya iliojishindwa ikijifia zake .kuitaja kama imara inayoweza kufadhili mafunzo kuhujumu nchi ingine huo nao ni ukichaa mwingine .ukweli ni serikali ilifungie ili gazeti halina tija kwa Taifa .ni heri kuruhusu bangi kuzalishwa na kuuzwa nje ya nchi kuliko kuruhusu ili gazeti kuendelea kuzalishwa nchini
 
Tanzanite,Jamvi la habari, Tazama ni vigazeti vya kijinga kijinga tu na vinasomwa na wajinga wajinga tu. Ila ni wakati sasa Chadema ichukue hatua za kisheria dhidi ya huyu mjinga msiba.
 
Nafikili tusiishie kulalamika humu

hawa watu ni lazima washitakiwe, maana najua huu ni

-uzushi

-umalaya

-uongo

Nafikili ifikie kipindi viongozi wa chadema wawe serious na credibility zao ili zisishushwe kipuuzi na haya magazeti yasiyo na ushahidi

-viongozi wa chadema semeni imetosha, muwashitaki wamiliki wa gazeti hili.
 
Hilo gazeti kwa kweli lifungiwe tu hizi ni shutuma nzito sana na km serikali itakaa kimya na kukaa kukamata watu wanaotumia mitandao ovyo huku kuna magazeti yanasambaza chuki haitakua sawa ....inaumiza sana .
 
Nafikili tusiishie kulalamika humu

hawa watu ni lazima washitakiwe, maana najua huu ni

-uzushi

-umalaya

-uongo

Nafikili ifikie kipindi viongozi wa chadema wawe serious na credibility zao ili zisishushwe kipuuzi na haya magazeti yasiyo na ushahidi

-viongozi wa chadema semeni imetosha, muwashitaki wamiliki wa gazeti hili.
Uko Sahihi kabisa lakini kesi ya Ngedere umpelekee nyani?
 
Hilo gazeti kwa kweli lifungiwe tu hizi ni shutuma nzito sana na km serikali itakaa kimya na kukaa kukamata watu wanaotumia mitandao ovyo huku kuna magazeti yanasambaza chuki haitakua sawa ....inaumiza sana .
Unazungumzia kufungiwa? Mbona mbali saäana huko, Sema hata barua ya Onyo tu!
 
Uko Sahihi kabisa lakini kesi ya Ngedere umpelekee nyani?
Hapana mkuu mbona kesi zingine hua wanashinda,

Tundu lisu ameshinda kesi nyingi sana kwa mahakama hizi hizi mkuu

mimi naamini viongozi wa chadema hawajaamua kuchukua hatua

Binafsi ningependa viongozi wa chadema wachukue hatua mapema maana watanzania wengi hatujui kuchambua mambo hivyo wapo wanaoziamini hizi habari
 
Back
Top Bottom