Uchambuzi: Athari ya Habari za "Tanzanite"

Hata kama ni propaganda hili gazeti ni la kipuuzi sana. Linapuuzwa mitaani na wasomaji magazeti. Ni gazeti la uchochezi na uzushi kwa habari zinazoandikwa humo. Linaaibisha nchi
 
Hata kama ni propaganda hili gazeti ni la kipuuzi sana. Linapuuzwa mitaani na wasomaji magazeti. Ni gazeti la uchochezi na uzushi kwa habari zinazoandikwa humo. Linaaibisha nchi
 
Kijarida kinyesi hiki watu bado wanasoma hata heading zake?
 
Hata kama ni propaganda hili gazeti ni la kipuuzi sana. Linapuuzwa mitaani na wasomaji magazeti. Ni gazeti la uchochezi na uzushi kwa habari zinazoandikwa humo. Linaaibisha nchi
 
Chama kama chama "CHADEMA" hakijakanusha je tunapataje nguvu ya pamoja kumshambulia Musiba kuhusu ili. Je unatuaminishaje kama kilichoandikwa ni uongo!
 
Chama kama chama "CHADEMA" hakijakanusha je tunapataje nguvu ya pamoja kumshambulia Musiba kuhusu ili. Je unatuaminishaje kama kilichoandikwa ni uongo!
Sijaandika kwa ajili ya kusapoti wala kukanusha, nimeandika athari inayoweza kusababishwa na taarifa kama hizo.

Pili, kabla ya kuwataka CHADEMA kukanusha ilitakiwa jeshi letu ndio lifanye kazi yake! Why CHADEMA akanushe?
 
Musiba na habari zake hazina tatizo, tatizo ni viongozi wa CHADEMA kufumbia macho na kunyamazia hayo yanayoandikwa kila kukicha.
Wakinyamaza manake yaliyomo yamo ndo mana wanashindwa kuchukuwa hatua.
 
Zitto nae kaja kwa mbwembwe nyingi lkn kimya. Sasa tutaacha kuamini kuwa anakula mke wa mtu.
 
Chama kama chama "CHADEMA" hakijakanusha je tunapataje nguvu ya pamoja kumshambulia Musiba kuhusu ili. Je unatuaminishaje kama kilichoandikwa ni uongo!

Na kama Serikali ipo na haijafanyia kazi shutuma na tuhuma hizi tutaachaje kumuona Musiba ni mwongo na mzandiki?
 
Mwananchi ni sehemu ya makampuni ya Aga Khan
TANZANIA hamnaga serious Newspapers ukiondowa mwananchi anae jitahidi sana tena ni kampuni ya Kenya.....sijui nyie mda wakusoma udaku huwo mnautoa wapi?.......hata ukisoma headlines nakiliomo ndani nivitu viwili tofouti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…