Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
✍🏻Mamelodi leo walionesha kitu ambacho mara nyingi wanakionesha Brighton ( kwenye build up ) kipi hiko ?Kukuvuta uende kuwafanyia pressing ( Baiting the press ) na kwanini hivyo ?
1: Ni kwamba wanapasiana taratibu nyuma pasi fupi fupi dhamira yao uende ukawafanyie pressing ili space ifunguke nyuma yako washambulie nyuma ya kiungo chako , pasi mbili au tatu wanakusalimia
2: Wanakuwa mabeki wawili nyuma , viungo wawili mbele yao huku fullbacks wakiwa wanatanua uwanja kwenye mstari wa mmoja na viungo wawili , huku GK anakuwa kama option ya ziada wakitaka pasi ya mbele
✍🏻Lakini Yanga wao wakasema " No thank you " huo mpira kaeni nao huko kwenu hatuji kufanya pressing , Yanga walitengeneza midblock nzuri ya 4-4-2 ( walikabia katikati zaidi na wala sio chini wala juu sana ) kuwanyima space za ndani ya Mamelodi jumlisha kazi nzuri ya Maxi na Musonda kwenye ku track back kuhakikisha fullbacks wao wasiwe wazi peke yao . Game Plan 🤝
✍🏻Kwa kipindi cha kwanza tu pekee ilihitaji hivi vitu viwili goli lipatikane
1: Makosa makubwa ya kiulinzi kwa timu zote mbili
2: Ubora wa mchezaji mmoja kuamua ( individual brilliance )
✍🏻Kipindi cha pili kuna muda kama wa dakika 20 au 15 fulani hivi , timu zote mbili ziliamua kufunguka na kupishana hapo spaces zilianza kufunguka , runners wakaanza kupata spaces , pasi za mbele zilianza kuonekana , kilichokosekana :-
1: Mamelodi pasi yao ya mwisho ilikosekana
2: Yanga maamuzi sahihi , either pasi au umaliziaji
✍🏻kwenye uzuiaji timu zote zilikuwa tofauti kwenye muundo wao
: Mamelodi walichagua kukabia juu hasa pale wakipoteza mpira ( counter pressing )
: Yanga kufunga spaces wakiwa ndani : na wote ( Mamelodi na Yanga walifanikiwa kwenye mipango yao )
NOTE
1: Kwenye mechi kama hizi ukipata nafasi inabidi uwe mfanisi maana hutopata nyingi ( Mzize dakika za mwanzo na kipindi cha pili ) kwa level hii zile nafasi nzuri
2: Mudau kwenye 1v1 utakesha 😀🔥
3: Kekana mtulivu sana anacheza kwa hesabu
4: Muda na Mkude kwenye kiungo wamejituma mno hutakiwi kusinzia
5: Maxi kipindi cha kwanza , good game
6: Magolikipa wawili : Sweeper GKs , Passers : Diarra na Williams 🔥
FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi
1: Ni kwamba wanapasiana taratibu nyuma pasi fupi fupi dhamira yao uende ukawafanyie pressing ili space ifunguke nyuma yako washambulie nyuma ya kiungo chako , pasi mbili au tatu wanakusalimia
2: Wanakuwa mabeki wawili nyuma , viungo wawili mbele yao huku fullbacks wakiwa wanatanua uwanja kwenye mstari wa mmoja na viungo wawili , huku GK anakuwa kama option ya ziada wakitaka pasi ya mbele
✍🏻Lakini Yanga wao wakasema " No thank you " huo mpira kaeni nao huko kwenu hatuji kufanya pressing , Yanga walitengeneza midblock nzuri ya 4-4-2 ( walikabia katikati zaidi na wala sio chini wala juu sana ) kuwanyima space za ndani ya Mamelodi jumlisha kazi nzuri ya Maxi na Musonda kwenye ku track back kuhakikisha fullbacks wao wasiwe wazi peke yao . Game Plan 🤝
✍🏻Kwa kipindi cha kwanza tu pekee ilihitaji hivi vitu viwili goli lipatikane
1: Makosa makubwa ya kiulinzi kwa timu zote mbili
2: Ubora wa mchezaji mmoja kuamua ( individual brilliance )
✍🏻Kipindi cha pili kuna muda kama wa dakika 20 au 15 fulani hivi , timu zote mbili ziliamua kufunguka na kupishana hapo spaces zilianza kufunguka , runners wakaanza kupata spaces , pasi za mbele zilianza kuonekana , kilichokosekana :-
1: Mamelodi pasi yao ya mwisho ilikosekana
2: Yanga maamuzi sahihi , either pasi au umaliziaji
✍🏻kwenye uzuiaji timu zote zilikuwa tofauti kwenye muundo wao
: Mamelodi walichagua kukabia juu hasa pale wakipoteza mpira ( counter pressing )
: Yanga kufunga spaces wakiwa ndani : na wote ( Mamelodi na Yanga walifanikiwa kwenye mipango yao )
NOTE
1: Kwenye mechi kama hizi ukipata nafasi inabidi uwe mfanisi maana hutopata nyingi ( Mzize dakika za mwanzo na kipindi cha pili ) kwa level hii zile nafasi nzuri
2: Mudau kwenye 1v1 utakesha 😀🔥
3: Kekana mtulivu sana anacheza kwa hesabu
4: Muda na Mkude kwenye kiungo wamejituma mno hutakiwi kusinzia
5: Maxi kipindi cha kwanza , good game
6: Magolikipa wawili : Sweeper GKs , Passers : Diarra na Williams 🔥
FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi