Haya makolo yashindwe nyumbani kisha yakashinde huko Misri?? Hakunaga kitu kama hicho Mkuu.REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.
Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..
Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.
Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu
Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227
Tafsiri ya picha hapo juu
Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ...hapo.baada ya kukandwa kolo alijifcha Kwa muda ./ Ailitokome[emoji23][emoji23]
Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
Haya makolo yashindwe nyumbani kisha yakashinde huko Misri?? Hakunaga kitu kama hicho Mkuu.
Kwanza bora tu yasiende maana yanaenda tena kututia Aibu na tunapoteza rasilimali fedha na muda juu.
Hizo fedha ambazo zitatumika kuwasafirisha ni bora zichukuliwe zikajenge darasa.
Na bei ya ng'ombe ipoje?nimefuata mnada wa ng'ombe ambao utafanyika kesho Mbande.
Kulingana na mbegu/kilo bei zipo kama ifuatavyo;Na bei ya ng'ombe ipoje?
Anaeanza nani?Wote ila muda ni tofauti
Haiwezekani mkuuHaya makolo yashindwe nyumbani kisha yakashinde huko Misri?? Hakunaga kitu kama hicho Mkuu.
Kwanza bora tu yasiende maana yanaenda tena kututia Aibu na tunapoteza rasilimali fedha na muda juu.
Hizo fedha ambazo zitatumika kuwasafirisha ni bora zichukuliwe zikajenge darasa.
Muda ni hakimu wa kweli,,wacha tuoneLabda cuf ya lipumba
Hakuna mwana Simba yeyote anayeamini kwamba Simba itaifunga na kuitoa Al ahly. Labda kama wana Yanga ndo wanaamini hivyo ila si wana Simba.REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.
Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..
Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.
Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu
Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227
Tafsiri ya picha hapo juu
Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ...hapo.baada ya kukandwa kolo alijifcha Kwa muda ./ Ailitokome[emoji23][emoji23]
Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
Ndio washaanza kusema serikali inatubeba 😂 sijui wanadhani ni serikali inacheza?Na makolo watamsikiliza na kumuamini
Watakandwa kama unga wa maandazi.Waache tu si kesho kutwa tu hapo??
Wacha tuone mtu akikandwa.
Tena ule wa PPF kabisa.Watakandwa kama unga wa maandazi.