JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 1,889
- 1,127
Naamini kwa mtu makini na mdau wa elimu atakubaliana na mimi kuwa watoto wa kidato cha nne 2000-2012 wanajitahid sana!
Km mtaalamu wa masuala ya elimu hupaswi kulinganisha matokeo ya miaka ya nyuma kwa sababu kila mwaka kuna mabadiliko eitha ya ongezeko la shule zinazoanza kutoa mazao ya kidato cha nne, watoto wanaomaliza nao wanaongezeka, mabadiliko ya kitechnology, na watoto wengi wa karne hii ni watukutu hawapendi kusoma wanaenda shule kukua.
Pia huwezi kulinganisha matokeo ya enzi zile za shule 30 tz yoote ambapo watoto karib 99% walikuwa wanafaulu na sasa hivi ambapo tuna shule karib 10000+.
Jiulize kwa nini shule zoote za zaman bado zinafanya vizuri? Jibu,,, watoto wanaochaguliwa kwenda pale ni bright makapi ndo yanapelekwa shule za kata.
Tatzo la matokeo mabaya kidato cha nne linaanzia kwenye selection mbaya ya watoto wa kujiunga na form one.
Km mtaalamu wa masuala ya elimu hupaswi kulinganisha matokeo ya miaka ya nyuma kwa sababu kila mwaka kuna mabadiliko eitha ya ongezeko la shule zinazoanza kutoa mazao ya kidato cha nne, watoto wanaomaliza nao wanaongezeka, mabadiliko ya kitechnology, na watoto wengi wa karne hii ni watukutu hawapendi kusoma wanaenda shule kukua.
Pia huwezi kulinganisha matokeo ya enzi zile za shule 30 tz yoote ambapo watoto karib 99% walikuwa wanafaulu na sasa hivi ambapo tuna shule karib 10000+.
Jiulize kwa nini shule zoote za zaman bado zinafanya vizuri? Jibu,,, watoto wanaochaguliwa kwenda pale ni bright makapi ndo yanapelekwa shule za kata.
Tatzo la matokeo mabaya kidato cha nne linaanzia kwenye selection mbaya ya watoto wa kujiunga na form one.