Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Haya maneno yamekuwa yakisikika sana midomoni mwa Wanasiasa wakubwa na wadogo.
Kuna mahali watu wanayachanganya wengine kwa kujua na kutokujua.
Wadau wa siasa za Tanzani tujitokeze hapa angalau kwa kundi Mhhimu la.Wanajamii forums na wasomaji wake tuweze kuelewa mambo haya kwa kiasi cha kuridhisha.
Kamati Kuu ni nini? Inaundwa na watu gani, wanateuliwa na nani? Je Halmashauri Kuu ina umbo na muundo gani? Nani anaiunda? Wanapatikanaje?
Vile vile kwa Mkutano Mkuu na Sekretarieti ya vyama.
Karibuni wajuzi wa Mambo
Cc
Pascal Mayalla
Lucas Mwashambwa
Choice Varible
Erythrocyte
Lord Denning
Allen Killewela
Johnthebaptist
Kuna mahali watu wanayachanganya wengine kwa kujua na kutokujua.
Wadau wa siasa za Tanzani tujitokeze hapa angalau kwa kundi Mhhimu la.Wanajamii forums na wasomaji wake tuweze kuelewa mambo haya kwa kiasi cha kuridhisha.
Kamati Kuu ni nini? Inaundwa na watu gani, wanateuliwa na nani? Je Halmashauri Kuu ina umbo na muundo gani? Nani anaiunda? Wanapatikanaje?
Vile vile kwa Mkutano Mkuu na Sekretarieti ya vyama.
Karibuni wajuzi wa Mambo
Cc
Pascal Mayalla
Lucas Mwashambwa
Choice Varible
Erythrocyte
Lord Denning
Allen Killewela
Johnthebaptist