Uchambuzi: Simba atapigwa 3-0 na Power Dynamo

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wiki hii nimejaribu kufanya uchambuzi wa kina Kwa mechi hii ya mnyama na timu ya power Dynamo

Matokeo yatakuwa kama ifuatavyo

Simba kutokana na kuwa na ulinzi dhaifu wataruhusu goli 3 pia kutokana na kuwa na wafungaji tia maji tia maji .......hawatapata goali hata la offside

Mechi itakwisha Kwa Simba 0.........3 power Dynamo

NB: tuombee sana ....matokeo yapinduke[emoji23]
 
Mchaaa mbuzi kama mchaa mbuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo umejaribu leo uchambuzi..
UTOPOLO bn ni utopolo tu.
hivi kwanini mnapenda kujionyesha kwamba hamjitambui
 
Sawa mganga wa kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…