Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Msimu uliopita makolo walijigamba kuwa wachezaji wake wote waliibiwa Kwa Yanga pale walipokanyaga tu airport....Kwa msioelewa ni hivi ....Yanga inatafuta wachezaji then inawakodia ndege but kutokana na ujasusi wa 5imba inakwenda kuwanasa airport...Yanga wanabaki kushangaa[emoji23][emoji23]
Usichokijua kuhusu Yanga
Yanga inawalisha information fake makolo kuhusu Wachezaji inaowataka kumbe hao wachezaji ni rejected ( magarasa) then inawakodia ndege huku Makolo wakijua na kwenda kuwaiba airport.....kumbe ndo hawa wazee
Mfano Yanga walijifanya kumtaka pa jobe ...then wakawalisha info makolo secretly....then makolo wakajua hii ni Mali tuwaibie Yanga [emoji23][emoji23] unfortunately kumbe ilikuwa ni planned...
Nb Yanga wanatumia mbinu katili za Putin [emoji23]..... Putin alivyoona zile patriots ad zinamsumbua pale Ukraine akaanza kurusha bomb toys kama 200 Ili kuzipoteza zile Ad ...then kitu kizito kinatua[emoji23][emoji23]
Usichokijua kuhusu Yanga
Yanga inawalisha information fake makolo kuhusu Wachezaji inaowataka kumbe hao wachezaji ni rejected ( magarasa) then inawakodia ndege huku Makolo wakijua na kwenda kuwaiba airport.....kumbe ndo hawa wazee
Mfano Yanga walijifanya kumtaka pa jobe ...then wakawalisha info makolo secretly....then makolo wakajua hii ni Mali tuwaibie Yanga [emoji23][emoji23] unfortunately kumbe ilikuwa ni planned...
Nb Yanga wanatumia mbinu katili za Putin [emoji23]..... Putin alivyoona zile patriots ad zinamsumbua pale Ukraine akaanza kurusha bomb toys kama 200 Ili kuzipoteza zile Ad ...then kitu kizito kinatua[emoji23][emoji23]