Uchambuzi: Simba ya robertinho ilikuwa Bora kuliko hii ya Benchika

Simba Wana matatizo makubwa lakini viongozi wao wanajua sana kucheza na akili za wanachama wao, Na tatizo linaanzia kwa viongozi sio wakweli na awako pamoja, na Mo ni jipu jingine pale Simba alijua akimleta benchikha atatuliza Hali ya hewa ya wanachama waliokuwa wamechachamaa kina mangungu waachie ngazi, na alifanikiwa lakini wanachama walitakiwa wamuulize swali unamleta kocha mwenye profile kubwa je unao wachezaji wa kuendana nae ili afanikiwe? Jibu ni NO!
Na benchikha inaonekana akuifanyia uchunguzi wa kutosha Simba hii ya Sasa laiti Kama angeijua vizuri ikoje kwa sasa asingekubali kuifundisha kwakuwa akuna kocha mzuri Anataka kuiharibu cv yake kiboyaboya, yeye aliangalia Simba iliyofanya vizuri misimu 5 iliyopita akajaa kwenye mfumo Sasa nafikiri anajutia!
Mizizi wa ubovu wa Simba unaanzia kwa viongozi wa Simba kina jaribu Tena, mangungu na mwekezaji wao mjanjamjanja mhindi wa Bombay!
Kama unayo pesa kwanini uokote wachezaji huru wasiokuwa na ubora?
Kwanini usivunje mikataba na kuchukua wachezaji Bora? Uyu babakar sarr ni sawa na wakina zawadi Mauya au mzamiru yassin tu Amna kitu pale ni hewa tu, kwa mwendo huu Simba itaendelea kudidimia Kila siku!
 
Labda ipo siku watapata akili[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…