Pale shabiki wa daima mbele nyuma mwiko anapoanza kuchungulia kwenye kambi ya mnyama mjue anataka kuliwa kiboga, mmetukimbia zenji mnadhani hatutawakula?Hali hiyo ndiyo inayopitia simba kwasasa!
Mashabiki wa simba wanahitaji uongozi usajili Top players.
Mashabiki wa simba wanahitaji uongozi usajili Top players. Lakini uongozi unaamua kwenda kuokoteza wachezaji wa mafungu mafungu mtaani.Pale shabiki wa daima mbele nyuma mwiko anapoanza kuchungulia kwenye kambi ya mnyama mjue anataka kuliwa kiboga, mmetukimbia zenji mnadhani hatutawakula?
Tuna timu mbovu ila kwa nini mmetukimbia zenji?
Kule Zanzibar ilikuwa ni ku test wachezajiPale shabiki wa daima mbele nyuma mwiko anapoanza kuchungulia kwenye kambi ya mnyama mjue anataka kuliwa kiboga, mmetukimbia zenji mnadhani hatutawakula?
Tuna timu mbovu ila kwa nini mmetukimbia zenji?
Simba ndiyo timu unayoifuatilia kuliko zote Afrika Mashariki. Ndiyo roli modo wako bila shaka.USAJILI WA SIMBA NI KAMA UJENZI WA MNARA WA BABELI.
Wakati wa ujenzi wa mnara wa Babeli mtu anaagizwa alete tofali yeye anaenda kuleta kilita cha ulanzi. Aliyeagizwa alete mchanga yeye analeta ukuni.
Hali hiyo ndiyo inayopitia simba kwasasa!
Mashabiki wa simba wanahitaji uongozi usajili Top players. Lakini uongozi unaamua kwenda kuokoteza wachezaji wa mafungu mafungu mtaani.
Wakati wenzao yanga wanasajili akina Max, Pacome, Aziz Ki, Yao nk. Huko simba ndiyo kwanza utasikia Kapama, Mwanuke, Kennedy, Saido na wengine ndiyo hao wakuokotezwa huko.
Any way. KILA MTU ATAVUNA ALICHOPANDA.
[emoji2399] Oscar OscarJrr
Unatest mchezaji ambae uko nae kambini mwaka mzima.Kule Zanzibar ilikuwa ni ku test wachezaji
Sawa mkuu....but sisi kama wachambuzi kazi yetu ni kuusemea mpira wa bongo.....so ukiona Yanga hawasemwi ujue kwenye Hilo suala wejitahidiSimba ndiyo timu unayoifuatilia kuliko zote Afrika Mashariki. Ndiyo roli modo wako bila shaka.
Hujawahi kulala bila kuiandika Simba. Na hata kama ni usiku wa manane utaamka ukaandike.
Ndiyo timu unayoiwaza muda wote, ndiyo timu unayoitangaza na kuipaisha muda wote iwe kwa Negativity au kinyume chake.
Shabiki wa utopolo mwenye kuiwaza simba.
Nb: Jitahidi uwe unaandika na mazuri ya Yanga basi, tunajua sisi simba hatuna jema, Waandike hata hao Yanga wasio na chembe ya doa lolote.
Yaaah gamondi alisema kabisa....alikuwa anataka a prove kama ana kikosi kipanaUnatest mchezaji ambae uko nae kambini mwaka mzima.
Wee Dada una akili kweli!
Mabinti wengine bhana, fikiri ndiyo uandike.
Unamtest Moloko, Ngushi, Mauya, Kibabage, Mshery, Msize nk
Si ukae kimya tuu! Utakufa?
Huna ladha, tulisha kumega 5 tukagundua huna ladha sahihi.Pale shabiki wa daima mbele nyuma mwiko anapoanza kuchungulia kwenye kambi ya mnyama mjue anataka kuliwa kiboga, mmetukimbia zenji mnadhani hatutawakula?
Tuna timu mbovu ila kwa nini mmetukimbia zenji?
Ilikuwaje kocha akalitaka hilo kombe kwa kutest wachezaji?Kule Zanzibar ilikuwa ni ku test wachezaji
Na bado utateseka sana 2024 Uto wahed 😁Mashabiki wa simba wanahitaji uongozi usajili Top players. Lakini uongozi unaamua kwenda kuokoteza wachezaji wa mafungu mafungu mtaani.