Uchambuzi wa goli la Fiston Mayele

Uchambuzi wa goli la Fiston Mayele

Kuna goli Ajibu alifungaga akiwa Yanga, nakumbuka nalo ni acrobatic japo sina uhakika kama nalo linafanana na hili la Mayele
Hapana hili la MAYELE ....naona ni hatari coz mpira ulikuwa kasi Sana .....lakin pia alitingwa na mabek wawil
 
Makolo jana wamelala na viatu.

Hawaamini tena. Yaan hapo jumamosi wanakipiga na wana lamba lamba mechi ambayo wanaweza kufa.

Kitu cha kushangaza ni kwamba wanawatwisha biashara na timu zingine zigo la misumari la kuwafunga Yanga, zigo ambalo wao wameshindwa kulibeba.
Kabisa mkuu ......kolo hawakuamini kilichotokea jana
 
Goli la Fiston Mayele ni moja kati ya magoli bora Sana duniani kuwahi kufungwa tangu mchezo wa soka uanze

Tujikumbushe goli kama hili limewahi kufungwa na Cristian ronaldo akiwa pale Madrid

Kwa upande wa bongo goli kama hili lilifungwa na mnyama Chripin Ngush wa Mbeya kwanza kwenye mech na mbeya city. Pale mbeya kwanza walivokuja na come back ya kibabe kurudisha goli mbili

NOTE:. Makolo fc (Simba ) tangu kuanzishwa hawajawahi kufunga goli kama hili wala hawajui linafungwa vipi. Labda kama wamewahi kufunga kwenye mech za mazoez leten ushaidi hapa.

Mbinu kwa wazazi Kwa hili goli hili ....unaruhusiwa kumpa mtoto akamuonyeshe headmaster pale baada ya shule kufungua ....badala ya kubeba risit za malipo.


View attachment 2059008
Angalizo: Goli hili ni la hatari usijaribu kufanya mazoezi ya kufunga goli kama hili unaweza kuvunjika uti wa mgongo na kupata ulemavu katika maisha yako.
 
Swali,lini mchezaji wa Simba akafunga goli kama la Mayele? Tatizo Simba hamtaki kumkubali Mayele hadharani ila kimoyomoyo mnampenda hatuwashangai ndiyo kawaida yenu mlikuwa mnamponda Morrison kipindi kile anapanda juu ya mpira kumbe mnampenda mkamchukua hatushangai kuona leo mkimnyemelea na kumtaka Mayele.
 
Swali,lini mchezaji wa Simba akafunga goli kama la Mayele? Tatizo Simba hamtaki kumkubali Mayele hadharani ila kimoyomoyo mnampenda hatuwashangai ndiyo kawaida yenu mlikuwa mnamponda Morrison kipindi kile anapanda juu ya mpira kumbe mnampenda mkamchukua hatushangai kuona leo mkimnyemelea na kumtaka Mayele.
Hawaelew wanahitaji nn
 
Goli la Fiston Mayele ni moja kati ya magoli bora Sana duniani kuwahi kufungwa tangu mchezo wa soka uanze

Tujikumbushe goli kama hili limewahi kufungwa na Cristian ronaldo akiwa pale Madrid

Kwa upande wa bongo goli kama hili lilifungwa na mnyama Chripin Ngush wa Mbeya kwanza kwenye mech na mbeya city. Pale mbeya kwanza walivokuja na come back ya kibabe kurudisha goli mbili

NOTE:. Makolo fc (Simba ) tangu kuanzishwa hawajawahi kufunga goli kama hili wala hawajui linafungwa vipi. Labda kama wamewahi kufunga kwenye mech za mazoez leten ushaidi hapa.

Mbinu kwa wazazi Kwa hili goli hili ....unaruhusiwa kumpa mtoto akamuonyeshe headmaster pale baada ya shule kufungua ....badala ya kubeba risit za malipo.


View attachment 2059008
Mashabiki wa Tanzania kama wahunzi vile!!
 
Back
Top Bottom