Jasusi yupo Dar na Goma virtually akifuatilia yanayoendelea, na ataendelea kukujuza from time to time...lakini leo tuangazie mkutano wa SADC / EAC wa Dar es Salaam
View: https://m.youtube.com/watch?v=9t6awbHDou8
Evarist Chahali, afisa wa zamani wa usalama wa Taif Tanzania TISS aliyegeuka kuwa mwandishi, ametoa mchango mkubwa katika uelewa wa shughuli za uchambuzi wa kina ripoti mbalimbali kwa kuzichanganua na kuweza kuleta maana zake halisi
Makala hii inahusu mkutano wa kati ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika jana Februari 8, 2025 jijini Dar es Salaam, Tanzania. Makala inazungumzia masuala matatu, kwanza, kutumuliwa kwa Kamishna wa AU Moussa
View: https://m.youtube.com/watch?v=9t6awbHDou8
Evarist Chahali, afisa wa zamani wa usalama wa Taif Tanzania TISS aliyegeuka kuwa mwandishi, ametoa mchango mkubwa katika uelewa wa shughuli za uchambuzi wa kina ripoti mbalimbali kwa kuzichanganua na kuweza kuleta maana zake halisi
Makala hii inahusu mkutano wa kati ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika jana Februari 8, 2025 jijini Dar es Salaam, Tanzania. Makala inazungumzia masuala matatu, kwanza, kutumuliwa kwa Kamishna wa AU Moussa