Uchambuzi wa kina kuhusu makundi 6 ya washauri wa jk

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
..hii ni sehemu ya makala iliyoandikwa na mwandishi maalum wa gazeti la Raia Mwema.


..kwa maoni yangu mwandishi ameandika kwa ushawishi mkubwa akielezea matatizo ya kiutawala ya Raisi Kikwete.



 
Wakati mwingine ni bora tu mtu asome jokes za JF kuliko kusoma nakala za waandishi hawa. Nimeshindwa kabisa kutofautisha FACTS na OPINION katika makala hii ya raia mwema. Udaku 100%.
 
MU said:
Wakati mwingine ni bora tu mtu asome jokes za JF kuliko kusoma nakala za waandishi hawa. Nimeshindwa kabisa kutofautisha FACTS na OPINION katika makala hii ya raia mwema. Udaku 100%

MU,

..kabla ya kumlaumu mwandishi, je umejaribu kutafakari kwamba labda tatizo ni la kwako wewe msomaji?

..hii makala imetulia haswa haswa kipengele cha 1,2,3, na 6.
 
MU,

..kabla ya kumlaumu mwandishi, je umejaribu kutafakari kwamba labda tatizo ni la kwako wewe msomaji?

..hii makala imetulia haswa haswa kipengele cha 1,2,3, na 6.

Sidhani kwamba msomaji anatakiwa awe na elimu ya juu ili kutofautisha facts na opinion. Mwandishi mwenyewe ameshindwa kutofautisha haya, sembuse msomaji!!
 
MK,

..sasa hebu tuchambulie basi hizo facts unazoona zinakosekana ktk makala.

..nakwambia makala imetulia hii, kwani si siri kwamba JK alitumia mbinu chafu kuingia madarakani.

..kwa mazingira ya usiri, kulindana, na kuogopana, yaliyoko Tanzania si rahisi kwa wahusika kutoa habari zote.

..makala kama hii inatusogeza karibu zaidi na ukweli kuhusu utawala wa JK.
 
Mwandishi bomu kabisa type ya kubenea, ni huzuni kubwa kuona Raiamwema could sink this low.
 

Mstari wako wa mwisho umesema kwa niaba yangu! Kusogea karibu na ukweli haina maana kuwa na ukweli!

Hivi nikuulize JK (Joka Kuu as opposed to JK president), katika siasa ni mbinu gani zinakuwa clasfied kwamba ni mbinu chafu? Kusema kwamba Obama ni muislamu kutokana na jina lake ni mbinu chafu? Kusema kwamba Bush alitumia madawa ya kulevya wakati wa ujana wake ni mbinu chafu? Kusema kwamba Obama alivaa kama gaidi alipotembelea Kenya ni mbinu chafu? Kusema kwamba Clinton ni moto chini ni mbinu chafu? Kusema kwamba Chadema ni chama cha ukabila ni mbinu chafu? Kusema CUF ni chama cha waislamu ni mbinu chafu?

What mbinu chafu means in politics?
 
MU,

..kueneza uongo na uzandiki dhidi ya wapinzani wako wa kisiasa ni mbinu chafu.
 
MU,

..imefika mahali mke wa Raisi wetu, mama wa Kiislamu, anapandishwa ndege ya serikali kwenda kuangalia wanawake wakicheza matiti wazi nusu uchi kule Swaziland.

..usalama wa taifa wako wapi? washauri wa Raisi wako wapi?

..sasa kama jambo obvious kama hilo taasisi nzima ya Uraisi inashindwa kuliona unategemea nini kwa masuala makubwa, na complicated?
 
Sihitaji mwandishi anitafunie kila kitu kana kwamba ubongo wangu hauwezi kuunganisha DOTS.

Waandishi wengi wamekuwa hawabainishi kuonesha washauri wa Raisi ni kina nani pale inapozungumzwa kuhusu "washauri wa Raisi". Hapa makundi hayo yametajwa bayana na kuchambuliwa moja baada ya jingine. Namshukuru mwandishi kwa kutuweka sawa.

Kwa taarifa iliyoko kwenye hiyo article hapo juu nimetosheka - ninachofanya sasa ni kuoanisha na taarifa za nyuma (facts) zilizowahi kutolewa, matukio yaliyopita pamoja na future events! ....I only need to connect the dots kwa kujaribu kupata majibu ya maswali yanayonisumbua.

Wale wasiofuatilia habari mara kwa mara ndiyo inabidi waandikiwe waoneshwe "facts hizi hapa"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…