Uchambuzi wa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga Vs Simba

Uchambuzi wa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga Vs Simba

otimbiotimbi

Senior Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
132
Reaction score
230
Kwa mara ya kwanza ndani ya misimu mitatu niliiona Simba Ile iliyobeba ubingwa wa ligi mara nne mfululizo.

Mbali na Simba kupoteza jana lakini nilishuhudia Simba ya hatari inayokuja hapo mbele, timu ambayo inaweza kumzuia Azizi Ki na Pacome wasiingie kwenye boksi ni timu ya kuogopa sana.

Niliishuhudia Simba ambayo Iko imara Kwa Kila sehemu, na kizuri zaidi wachezaji wote Wana Kaba kitu ambacho kilikosekana Kwa misimu miwili iliyo pita.

Simba washukuru kupata kipimo sahihi najua kupitia kipimo hiki Cha jana ni wazi wamepata mwelekeo wa timu Yao kuelekea msimu ujao.

Wana simba wanao ujua mpira hawawezi kuumia Kwa haya matokeo ya jana, Nina Imani wengi walifurahi sana.

Najua Gamond amepata somo kuelekea msimu ujao, atakuwa na upinzani mkubwa sana mana Azam pia niliwatazama wako njema sana.

Nilizitazama simba na Yanga, aisee nilishuhudia mpira mkubwa sana, niseme tu kitu kimoja, msimu huu unao kuja mmoja lazima alete kombe la CAF iwe ni Klabu Bingwa au shirikisho.
 
dd3ee90472294ce195adf5cf6534305a.jpg
😂😂 mnateseka mkiwa wapi??
 
Mimi nasubiri tu mwishoni mwa msimu nione kama kocha na baadhi ya wachezaji wamebaki, au kama kawaida panga litawapitia kama ilivyo desturi.
 
Hongera mchambuzi. Wewe umekuwa qualified soccer analyst.
 
Kwa mara ya kwanza ndani ya misimu mitatu niliiona Simba Ile iliyobeba ubingwa wa ligi mara nne mfululizo.

Mbali na Simba kupoteza jana lakini nilishuhudia Simba ya hatari inayokuja hapo mbele, timu ambayo inaweza kumzuia Azizi Ki na Pacome wasiingie kwenye boksi ni timu ya kuogopa sana.

Niliishuhudia Simba ambayo Iko imara Kwa Kila sehemu, na kizuri zaidi wachezaji wote Wana Kaba kitu ambacho kilikosekana Kwa misimu miwili iliyo pita.

Simba washukuru kupata kipimo sahihi najua kupitia kipimo hiki Cha jana ni wazi wamepata mwelekeo wa timu Yao kuelekea msimu ujao.

Wana simba wanao ujua mpira hawawezi kuumia Kwa haya matokeo ya jana, Nina Imani wengi walifurahi sana.

Najua Gamond amepata somo kuelekea msimu ujao, atakuwa na upinzani mkubwa sana mana Azam pia niliwatazama wako njema sana.

Nilizitazama simba na Yanga, aisee nilishuhudia mpira mkubwa sana, niseme tu kitu kimoja, msimu huu unao kuja mmoja lazima alete kombe la CAF iwe ni Klabu Bingwa au shirikisho.
Mnajifariji nyie 5imba Thiiimbaaaa Guvu Moya ya Glazerbhai Mwamedi kanjibai janja2 sana.
 
Kwa mara ya kwanza ndani ya misimu mitatu niliiona Simba Ile iliyobeba ubingwa wa ligi mara nne mfululizo.

Mbali na Simba kupoteza jana lakini nilishuhudia Simba ya hatari inayokuja hapo mbele, timu ambayo inaweza kumzuia Azizi Ki na Pacome wasiingie kwenye boksi ni timu ya kuogopa sana.

Niliishuhudia Simba ambayo Iko imara Kwa Kila sehemu, na kizuri zaidi wachezaji wote Wana Kaba kitu ambacho kilikosekana Kwa misimu miwili iliyo pita.

Simba washukuru kupata kipimo sahihi najua kupitia kipimo hiki Cha jana ni wazi wamepata mwelekeo wa timu Yao kuelekea msimu ujao.

Wana simba wanao ujua mpira hawawezi kuumia Kwa haya matokeo ya jana, Nina Imani wengi walifurahi sana.

Najua Gamond amepata somo kuelekea msimu ujao, atakuwa na upinzani mkubwa sana mana Azam pia niliwatazama wako njema sana.

Nilizitazama simba na Yanga, aisee nilishuhudia mpira mkubwa sana, niseme tu kitu kimoja, msimu huu unao kuja mmoja lazima alete kombe la CAF iwe ni Klabu Bingwa au shirikisho.
Mmefungwa na hapo Gamondi hakujua kikosi cha Simba wala falsafa ya kocha mpya kajilipua tu liwalo na liwe. Maana Simba ilikuwa inacheza kwa siri huku Yanga wakijianika kwa uwazi mkubwa kwa kucheza mechi nnne zilizoruka live. Mpira ni mbinu na ufundi ngoja tuone kitakachotokea kwenye ligi
 
Back
Top Bottom