Uchambuzi wa Timu ya Marumo Gallants

Uchambuzi wa Timu ya Marumo Gallants

Kamugisha138

Member
Joined
May 5, 2023
Posts
22
Reaction score
23
"Marumo Gallants wameingia kwenye michuano ya CAFCC kibahatibahati na wameitumia hiyo bahati kufika hapa walipo. Waliingia michuano hii kutokana na Mamelodi Sundowns kuwa bingwa wa ligi na michuano ya Super 8 na wao wakiwa wanafainali"

"Mechi ya Yanga vs Marumo Gallants naifananisha na ile ya Simba na Kaizer Chiefs kwa sababu Kaizer Chiefs walikuwa hawana ubora kwenye ligi lakini waliwashangaza Simba, hivyo hivyo kwa Marumo Gallants msimu huu. Yanga wanapasw akujifunza kilichowatokea Simba"
Screenshot_20230506-003658.jpg
 
Kwa hatua ya Nusu Fainali kila timu inayo nafasi. Kila mtu ashinde nyumbani kwake.
 
"Marumo Gallants wameingia kwenye michuano ya CAFCC kibahatibahati na wameitumia hiyo bahati kufika hapa walipo. Waliingia michuano hii kutokana na Mamelodi Sundowns kuwa bingwa wa ligi na michuano ya Super 8 na wao wakiwa wanafainali"

"Mechi ya Yanga vs Marumo Gallants naifananisha na ile ya Simba na Kaizer Chiefs kwa sababu Kaizer Chiefs walikuwa hawana ubora kwenye ligi lakini waliwashangaza Simba, hivyo hivyo kwa Marumo Gallants msimu huu. Yanga wanapasw akujifunza kilichowatokea Simba" View attachment 2611512
Tujifunze kwenye nn?. Koloz hawana Cha kutufundishaaa. Watuacheeeee
 
"Marumo Gallants wameingia kwenye michuano ya CAFCC kibahatibahati na wameitumia hiyo bahati kufika hapa walipo. Waliingia michuano hii kutokana na Mamelodi Sundowns kuwa bingwa wa ligi na michuano ya Super 8 na wao wakiwa wanafainali"

"Mechi ya Yanga vs Marumo Gallants naifananisha na ile ya Simba na Kaizer Chiefs kwa sababu Kaizer Chiefs walikuwa hawana ubora kwenye ligi lakini waliwashangaza Simba, hivyo hivyo kwa Marumo Gallants msimu huu. Yanga wanapasw akujifunza kilichowatokea Simba" View attachment 2611512
Unaiombea Yanga dua mbaya? Sheeeendwa kabisa
 
Back
Top Bottom