Kamugisha138
Member
- May 5, 2023
- 22
- 23
Yanga anaanzia Nyumbani Tarehe 10-05-2023Mechi lini? Na nani anaanza nyumbani?
Tujifunze kwenye nn?. Koloz hawana Cha kutufundishaaa. Watuacheeeee"Marumo Gallants wameingia kwenye michuano ya CAFCC kibahatibahati na wameitumia hiyo bahati kufika hapa walipo. Waliingia michuano hii kutokana na Mamelodi Sundowns kuwa bingwa wa ligi na michuano ya Super 8 na wao wakiwa wanafainali"
"Mechi ya Yanga vs Marumo Gallants naifananisha na ile ya Simba na Kaizer Chiefs kwa sababu Kaizer Chiefs walikuwa hawana ubora kwenye ligi lakini waliwashangaza Simba, hivyo hivyo kwa Marumo Gallants msimu huu. Yanga wanapasw akujifunza kilichowatokea Simba" View attachment 2611512
Unaiombea Yanga dua mbaya? Sheeeendwa kabisa"Marumo Gallants wameingia kwenye michuano ya CAFCC kibahatibahati na wameitumia hiyo bahati kufika hapa walipo. Waliingia michuano hii kutokana na Mamelodi Sundowns kuwa bingwa wa ligi na michuano ya Super 8 na wao wakiwa wanafainali"
"Mechi ya Yanga vs Marumo Gallants naifananisha na ile ya Simba na Kaizer Chiefs kwa sababu Kaizer Chiefs walikuwa hawana ubora kwenye ligi lakini waliwashangaza Simba, hivyo hivyo kwa Marumo Gallants msimu huu. Yanga wanapasw akujifunza kilichowatokea Simba" View attachment 2611512
AmenMungu ibariki Yanga ishinde goli 3 kwa 0 hapa Nyumbani siku ya tarehe 10.05.2023 Amiina...