Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Salam Wana jf
Katika harakati za Uchambuzi wangu Leo nilikuwa naangalia baadhi ya mechi za kimataifa walizocheza Yanga vs mechi za kimataifa walizocheza wydadi Casablanca
Nimegundua yafuatayo hizi timu zinacheza aina sawa za soka
Wote wana mpira wa spidi, lkn Yanga katika mechi zake huanza Kwa mpira wa spidi ndogo huku akiwasoma wapinzani lkn kadri muda unavyosonga spidi yake inakuwa kubwa mfano ....angalia ushindi wake hupatikana kipindi cha 2 hivyo kuweza kuchosha mwarabu na kumpiga Kwa counter attack tofauti na Simba ambayo haina wachezaji wenye kuhimiri mbinu
Weka mbinu zingine ambazo Yanga wanazo
Katika harakati za Uchambuzi wangu Leo nilikuwa naangalia baadhi ya mechi za kimataifa walizocheza Yanga vs mechi za kimataifa walizocheza wydadi Casablanca
Nimegundua yafuatayo hizi timu zinacheza aina sawa za soka
Wote wana mpira wa spidi, lkn Yanga katika mechi zake huanza Kwa mpira wa spidi ndogo huku akiwasoma wapinzani lkn kadri muda unavyosonga spidi yake inakuwa kubwa mfano ....angalia ushindi wake hupatikana kipindi cha 2 hivyo kuweza kuchosha mwarabu na kumpiga Kwa counter attack tofauti na Simba ambayo haina wachezaji wenye kuhimiri mbinu
Weka mbinu zingine ambazo Yanga wanazo