Uchambuzi

Uchambuzi

Laizer Peter

Senior Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
130
Reaction score
24
Habari Zenu Wana Jf Wote!!

Mimi Binafsi Nimesoma KATIBA PENDEKEZWA Hadi Mwisho Na Nimezielewa Baadhi Ya Ibara Na Vipengele Vyake.

ILA. Kiukweli Bila Kuirudia Kuisoma Tena Kwa Makini Zaidi Hakika Huwezi Elewa Kilichoandikwa Humo Na Hii Ndo Inasababisha Kutoelewana Humu Coz Kuna Wengne Wameisoma Wakaielewa Na Kuichambua PIA Kuna Wengne Wameisoma rafu rafu ndo Maana Wanakua Wagumu Kuelewa Humu Na Kusema KATIBA Haifai.

USHAURI

Ewe MTANZANIA Nakushauri Uisome KATIBA PENDEKEZWA Kwa Umakini Zaidi Na Uache BANGI Wakati Wa Kuisoma KATIBA Yenyewe.
Ni Haki Yako Kuisoma Ili UTAKAPOIKUBALI Baadae Ujue UMEIKUBALI KWA MISINGI IPI au UTAKAPOIKATAA Ujue UMEIKATAA Kwa MISINGI IPI.
Usiwe Kama Bendera Fata Upepo.

Na Sio Kwa Sababu Umesikia WACHUNGAJI Wanaipinga Basi Wewe Humo Humo Ukiulizwa Sababu Hata Hujui.
wachungaji Ni watu kama wewe tu USIKUBALI Kuwa Kama BENDERA.

PENDEKEZO :-

Me Napendekeza Kwamba Kwa Sababu Humu Najua Tuko Watu Wa Aina Tofauti Na Walioilewa Hii KATIBA PENDEKEZWA Kwa UFASAHA Ningeomba Japo Kila Siku Tuijadili Japo SURA MOJA AMA MBILI NDANI YA KATIBA,Na Hii Itasaidia Kupunguza Ubishi Usiokua Na Maana Humu Coz Mtu Akileta Anapewa IBARA

NOTE: iisome katiba then take your own DECISION.


Nawasilisha.
 
Habari Zenu Wana Jf Wote!!

Mimi Binafsi Nimesoma KATIBA PENDEKEZWA Hadi Mwisho Na Nimezielewa Baadhi Ya Ibara Na Vipengele Vyake.

ILA. Kiukweli Bila Kuirudia Kuisoma Tena Kwa Makini Zaidi Hakika Huwezi Elewa Kilichoandikwa Humo Na Hii Ndo Inasababisha Kutoelewana Humu Coz Kuna Wengne Wameisoma Wakaielewa Na Kuichambua PIA Kuna Wengne Wameisoma rafu rafu ndo Maana Wanakua Wagumu Kuelewa Humu Na Kusema KATIBA Haifai.

USHAURI

Ewe MTANZANIA Nakushauri Uisome KATIBA PENDEKEZWA Kwa Umakini Zaidi Na Uache BANGI Wakati Wa Kuisoma KATIBA Yenyewe.
Ni Haki Yako Kuisoma Ili UTAKAPOIKUBALI Baadae Ujue UMEIKUBALI KWA MISINGI IPI au UTAKAPOIKATAA Ujue UMEIKATAA Kwa MISINGI IPI.
Usiwe Kama Bendera Fata Upepo.

Na Sio Kwa Sababu Umesikia WACHUNGAJI Wanaipinga Basi Wewe Humo Humo Ukiulizwa Sababu Hata Hujui.
wachungaji Ni watu kama wewe tu USIKUBALI Kuwa Kama BENDERA.

PENDEKEZO :-

Me Napendekeza Kwamba Kwa Sababu Humu Najua Tuko Watu Wa Aina Tofauti Na Walioilewa Hii KATIBA PENDEKEZWA Kwa UFASAHA Ningeomba Japo Kila Siku Tuijadili Japo SURA MOJA AMA MBILI NDANI YA KATIBA,Na Hii Itasaidia Kupunguza Ubishi Usiokua Na Maana Humu Coz Mtu Akileta Anapewa IBARA

NOTE: iisome katiba then take your own DECISION.


Nawasilisha.
Katika siku zote hizi leo umeongea maneno yenye busara ya hali ya juu, ushauri wako umetulia na endelea na kuwashauri wengine juu ya hilo.
 
Your welcome Mr.Laizer, kikubwa tuendelee kuelimishana na kusaidiana areas ambazo hatuzijui.
 
Habari Zenu Wana Jf Wote!!

Mimi Binafsi Nimesoma KATIBA PENDEKEZWA Hadi Mwisho Na Nimezielewa Baadhi Ya Ibara Na Vipengele Vyake.

ILA. Kiukweli Bila Kuirudia Kuisoma Tena Kwa Makini Zaidi Hakika Huwezi Elewa Kilichoandikwa Humo Na Hii Ndo Inasababisha Kutoelewana Humu Coz Kuna Wengne Wameisoma Wakaielewa Na Kuichambua PIA Kuna Wengne Wameisoma rafu rafu ndo Maana Wanakua Wagumu Kuelewa Humu Na Kusema KATIBA Haifai.

USHAURI

Ewe MTANZANIA Nakushauri Uisome KATIBA PENDEKEZWA Kwa Umakini Zaidi Na Uache BANGI Wakati Wa Kuisoma KATIBA Yenyewe.
Ni Haki Yako Kuisoma Ili UTAKAPOIKUBALI Baadae Ujue UMEIKUBALI KWA MISINGI IPI au UTAKAPOIKATAA Ujue UMEIKATAA Kwa MISINGI IPI.
Usiwe Kama Bendera Fata Upepo.

Na Sio Kwa Sababu Umesikia WACHUNGAJI Wanaipinga Basi Wewe Humo Humo Ukiulizwa Sababu Hata Hujui.
wachungaji Ni watu kama wewe tu USIKUBALI Kuwa Kama BENDERA.

PENDEKEZO :-

Me Napendekeza Kwamba Kwa Sababu Humu Najua Tuko Watu Wa Aina Tofauti Na Walioilewa Hii KATIBA PENDEKEZWA Kwa UFASAHA Ningeomba Japo Kila Siku Tuijadili Japo SURA MOJA AMA MBILI NDANI YA KATIBA,Na Hii Itasaidia Kupunguza Ubishi Usiokua Na Maana Humu Coz Mtu Akileta Anapewa IBARA

NOTE: iisome katiba then take your own DECISION.


Nawasilisha.
Laizer nakushukuru kwa kuisoma Katiba Inayopendekezwa. Kwa kweli sasa naona umeelewa na ushauri wako utawasaidia wengi. Keep it up.
 
Habari Zenu Wana Jf Wote!!

Mimi Binafsi Nimesoma KATIBA PENDEKEZWA Hadi Mwisho Na Nimezielewa Baadhi Ya Ibara Na Vipengele Vyake.

ILA. Kiukweli Bila Kuirudia Kuisoma Tena Kwa Makini Zaidi Hakika Huwezi Elewa Kilichoandikwa Humo Na Hii Ndo Inasababisha Kutoelewana Humu Coz Kuna Wengne Wameisoma Wakaielewa Na Kuichambua PIA Kuna Wengne Wameisoma rafu rafu ndo Maana Wanakua Wagumu Kuelewa Humu Na Kusema KATIBA Haifai.

USHAURI

Ewe MTANZANIA Nakushauri Uisome KATIBA PENDEKEZWA Kwa Umakini Zaidi Na Uache BANGI Wakati Wa Kuisoma KATIBA Yenyewe.
Ni Haki Yako Kuisoma Ili UTAKAPOIKUBALI Baadae Ujue UMEIKUBALI KWA MISINGI IPI au UTAKAPOIKATAA Ujue UMEIKATAA Kwa MISINGI IPI.
Usiwe Kama Bendera Fata Upepo.

Na Sio Kwa Sababu Umesikia WACHUNGAJI Wanaipinga Basi Wewe Humo Humo Ukiulizwa Sababu Hata Hujui.
wachungaji Ni watu kama wewe tu USIKUBALI Kuwa Kama BENDERA.

PENDEKEZO :-

Me Napendekeza Kwamba Kwa Sababu Humu Najua Tuko Watu Wa Aina Tofauti Na Walioilewa Hii KATIBA PENDEKEZWA Kwa UFASAHA Ningeomba Japo Kila Siku Tuijadili Japo SURA MOJA AMA MBILI NDANI YA KATIBA,Na Hii Itasaidia Kupunguza Ubishi Usiokua Na Maana Humu Coz Mtu Akileta Anapewa IBARA

NOTE: iisome katiba then take your own DECISION.


Nawasilisha.

Ni wachache sana wenye kujali maslahi ya taifa lao, Haonera Laizer, tujenge nchi yetu kwani ni wajibu wa kila Mtanzania kujenga nchi yake. Good keep it up
 
Habari Zenu Wana Jf Wote!!

Mimi Binafsi Nimesoma KATIBA PENDEKEZWA Hadi Mwisho Na Nimezielewa Baadhi Ya Ibara Na Vipengele Vyake.

ILA. Kiukweli Bila Kuirudia Kuisoma Tena Kwa Makini Zaidi Hakika Huwezi Elewa Kilichoandikwa Humo Na Hii Ndo Inasababisha Kutoelewana Humu Coz Kuna Wengne Wameisoma Wakaielewa Na Kuichambua PIA Kuna Wengne Wameisoma rafu rafu ndo Maana Wanakua Wagumu Kuelewa Humu Na Kusema KATIBA Haifai.

USHAURI

Ewe MTANZANIA Nakushauri Uisome KATIBA PENDEKEZWA Kwa Umakini Zaidi Na Uache BANGI Wakati Wa Kuisoma KATIBA Yenyewe.
Ni Haki Yako Kuisoma Ili UTAKAPOIKUBALI Baadae Ujue UMEIKUBALI KWA MISINGI IPI au UTAKAPOIKATAA Ujue UMEIKATAA Kwa MISINGI IPI.
Usiwe Kama Bendera Fata Upepo.

Na Sio Kwa Sababu Umesikia WACHUNGAJI Wanaipinga Basi Wewe Humo Humo Ukiulizwa Sababu Hata Hujui.
wachungaji Ni watu kama wewe tu USIKUBALI Kuwa Kama BENDERA.

PENDEKEZO :-

Me Napendekeza Kwamba Kwa Sababu Humu Najua Tuko Watu Wa Aina Tofauti Na Walioilewa Hii KATIBA PENDEKEZWA Kwa UFASAHA Ningeomba Japo Kila Siku Tuijadili Japo SURA MOJA AMA MBILI NDANI YA KATIBA,Na Hii Itasaidia Kupunguza Ubishi Usiokua Na Maana Humu Coz Mtu Akileta Anapewa IBARA

NOTE: iisome katiba then take your own DECISION.


Nawasilisha.

A gentleman alwayz think wisely and directly to what z needed kaka great work
 
Back
Top Bottom