Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Huduma za uchangiaji damu nchini Kenya zimeathiriwana na janga la Covid-19, kwani wachangiaji ambao wamepokea sehemu ya kwanza dozi au dozi kamili ya chanjo ya AstraZeneca wanapaswa kusubiri kwa angalau siku saba kabla ya kuchangia damu.
Huduma ya Kitaifa ya Uchangiaji Damu nchini humo hukabiliwa na changamoto ya kufikia lengo la kukusanya damu painti milioni moja kila mwaka.
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kipindi cha kuahirisha utoaji damu kinawapatia fursa wachangiaji kutathmini ikiwa wana athari yoyote baada ya chanjo.
Muungwwana blog
Huduma ya Kitaifa ya Uchangiaji Damu nchini humo hukabiliwa na changamoto ya kufikia lengo la kukusanya damu painti milioni moja kila mwaka.
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kipindi cha kuahirisha utoaji damu kinawapatia fursa wachangiaji kutathmini ikiwa wana athari yoyote baada ya chanjo.
Muungwwana blog