Nimewahi jibu hii katika thread fulani kule jukwaa la wakubwa.... Hivo nime copy na kupaste na ku edit tu....
Kuna wadada wanamaisha mazuri saaana kwa njia hii hii ya kujiuza.... Wanaofanya ukahaba hapa inchin (naamini na maeneo mengi ya duniani) wapo in three categories (at least to me) The following ndio makundi hayo ma tatu... (Take note Men treat a lady the ways she wants to be treated - labda isiwe in her power)
Kahaba Anaejitambua...
Yupo kwa ajili ya kutengeneza pesa.... She makes all the rules... ana malengo na ana fixed dau la kulala nae, hatoki na wanaume ambao chini ya viwango anataka No matter how Broke! Huishi maisha ya gharama na kuenda sehemu za gharama hivo hukutana na wanaume wenye pesa ndefu. Hakubali umpleke sehemu ya ovyo, hakubali kuanza mechi wala kumtoa kwanza kabla hujakabidhi pesa. In short in high quality katika sector zooote!
Kahaba Asiejitambua...
Yupo kwa ajilii ya kutengeneza pesa ila tu hana Focus, kama anayo ipo short sighted, hutoka na mwanaume yeyote mradi alipwe, hupangiwa dau na mwanaume huyo anae mtoa (thou sio mara zooote); sehemu yoyote twende kazini, hawa hata makaburini, mapagalani, vichochoroni, popote pale mradi shughuli iishe... In short anaendesha ukahaba ki hali ya chiini saana na anakua haelewi umuhimu wake OR niseme umuhimu wa uwepo wake kwa service atoayo kwa hao wanaume....
Kahaba sababu tu anapenda ngono....
Huyu mwanaume mmoja hamtoshelezi no matter WHAT!!! Yaaani huyu akikosa mwanaume mda mrefu aweza umwa na yupo radhi atumie alternatives au hata apate wa kusagana....