Uchangudoa ni tabia ya mtu au kipato duni??

sehemu kubwa ni tabia ya mtu

kuna wengine wameingizwa katika biashara haramu bila kujua

wengine kukidhi tamaa za maisha ya matanuzi

wengine kukidhi tamaa za miili yao
 
niliwahi sikia kuna mwingine alikuwa aafanyakazi benki kuu lakn alikuwa anafanya uchangudoa
 
hvyo wengine ni kutafuta mafanikio/utajiri bila kutoa jasho/kufanyakazi
 
Changu doa samaki mmoja mtamu sana na ana tabia ya ukarimu
Wiki end njema
 
Kama uchangudoa ni kufanya sex ya kulipwa bc sioni aliyenafuuj
 
Uchangudoa siku hizi umepanuka,kuna watu wanatembea na wanaume hata hawawapendi ila kwa vile ana fedha huo ni uchangudoa pia na hawa ni wengi kuliko wanaosimama barabarani.
 
Some people are just promiscuous by nature i.e. they are genetically predisposed to promiscuity.

Some prostitute themselves to earn a living.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…