Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Uongozi ni kugusa maisha ya watu, ni kuleta tabasamu, furaha, na matumaini kwenye maisha ya watu. Ni kufanikisha na kuwezesha kutimizwa kwa ndoto za watu, ni kukidhi matarajio na kukata kiu ya watu, na kuwapa watu vicheko vya furaha na kuacha alama katika mioyo yao.

Uchapakazi na uongozi wa Rais Samia umeonekana kuwakosha, kuwagusa, na kukonga mioyo ya vijana wengi sana waliomaliza kidato cha sita. Hii imepelekea wengi wao kutafuta kadi za CCM usiku na mchana ili waweze kuwa wanachama wa CCM kama sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Vijana ambao nimekutana nao wameongea kwa hisia kali sana kutoa shukurani zao kwa Rais Samia kwa hatua yake ya kufanya maamuzi magumu ya kutoa elimu bure hadi kidato cha sita. Wengi wao, kutokana na vipato vya wazazi wao, hawakuwa na matumaini kama wangeweza kufika hapo isingekuwa elimu bure.

Wanasema kitendo cha Rais Samia kufuta ada na michango mingine kiliwafanya kuelekeza mawazo na akili zao zote katika kusoma kwa bidii na kufanya vyema katika masomo yao, pasipo kuwa na hofu ya kufukuzwa na kurudishwa nyumbani kuchukua ada na michango mingine kama ilivyokuwa zamani.

Katika hili, nami nawaunga mkono vijana hawa katika kumshukuru sana Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kufuta ada, ambayo imekuwa ni neema na nuru katikati ya giza kwa familia nyingi sana. Leo, hata mtoto wa maskini ana uhakika wa kupata elimu na kutimiza ndoto zake.

Tofauti na sisi wakati wetu, tuliteketeza mali nyingi sana kuanzia mifugo hususani ng'ombe, mashamba, na kuingia madeni kwa ajili ya kulipia ada na michango mingine iliyokuwa mingi. Hali ya kiuchumi, hususani vijijini, ilikuwa mbaya sana kuweza kumudu gharama hizo ambazo sasa zimebebwa na Jemedari wetu Daktari Mama Samia.

Katika hili, nasema Rais Samia, Mama yangu na Rais wetu mpendwa, utakumbukwa na maelfu ya vijana kwa kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila shida. Kikubwa, nakuomba sana Mheshimiwa Rais na serikali yako kuwa zinapokuwa zimetoka ajira, hususani za ualimu, basi jitahidini sana kwa jicho la huruma kuanza kuwapa kipaumbele wale vijana waliomaliza miaka ya nyuma hasa wale wa mwaka 2015, 2016, na hata wale wa 2017. Hii ni kwa kuwa huwa inawaumiza sana vijana waliomaliza mwaka 2015 na 2016 wanapokosa ajira, halafu aliyemaliza hivi karibuni anapata ajira na kwa masomo yale yale ambayo amesomea huyu wa 2015 na 2016.

Naamini serikali yako, Mheshimiwa Rais, italizingatia jambo hili. Fikiria hata wewe, Rais wetu ambaye ni mzazi mwenye huruma kama unavyofahamika na wengi, unaweza jisikiaje mtoto wako amemaliza ualimu 2015 au 2016 na hajapata ajira mpaka leo hii, licha ya kuwa na ufaulu mzuri na kukidhi vigezo vyote na ulimsomesha kwa shida, taabu, na mateso makubwa. Halafu anakuja anapata ajira wa juzi juzi tu na kwa masomo yaleyale na ufaulu ule ule.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uongozi ni kugusa maisha ya watu,ni kuleta tabasamu,furaha , matumaini kwenye maisha ya watu,ni kufanikisha na kuwezesha kutimizwa kwa ndoto za watu,ni kukidhi matarajio na kukata kiu ya watu,Ni kuwapa watu vicheko vya furaha na kuacha alama katika mioyo ya watu.

Uchapakazi na Uongozi wa Rais Samia umeonekana kuwakosha ,kuwagusa na kukonga mioyo ya vijana wengi sana waliomaliza kidato cha sita,ambapo imepelekea wengi wao kutafuta kadi za CCM usiku na mchaka ili waweze kuwa wanachama wa CCM kama sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia ,ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Vijana ambao nimekutana nao wameongea kwa hisia kali sana kutoa shukurani zao kwa Rais Samia ,kwa hatua yake ya kufanya maamuzi magumu ya kutoa Elimu bure hadi kidato cha sita.ambapo wengi wao kulingana na vipato vya wazazi wao hawakuwa hata na matumaini kama wanaweza fika hapo isingekuwa Elimu ni bure.

Wanasema kitendo cha Rais Samia kufuta ada na michango kingine iliwafanya kuelekeza mawazo na akili zao zote katika kusoma kwa bidii sana na kufanya vyema katika masomo yao ,pasipo kuwa na hofu ya kufukuzwa na kurudishwa nyumbani kuchukua ada na michango mingine kama ilivyokuwa salama.

Katika hili nami naungana na Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi kuwa uamuzi wa kufuta ada imekuwa ni neema na nuru katikati ya giza kwa familia nyingi sana ,kwani leo hata mtoto wa maskini anakuwa na uhakika wa kupata Elimu na kutimiza ndoto zake.tofauti sisi wakati wetu tuliteketeza mali nyingi sana kuanzia mifugo hususani Ng'ombe,mashamba ,kuingia madeni kwa ajili ya kulipia ada na michango kingine iliyokuwa ni mingi na hali ya kiuchumi hususani vijijini ilikuwa mbaya sana.

Katika hili nasema Rais Samia Mama yangu na Rais wetu Mpendwa utakumbukwa na maelfu ya vijana kwa kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila shida. Kikubwa Nakuomba Sana Mheshimiwa Rais na serikali yako kuwa zinapokuwa zimetoka ajira hususani za Ualimu basi jitahidini sana kwa jicho la Huruma kuanza na wale vijana waliomaliza miaka ya nyuma hasa wale wa Mwaka 2015,2016 na hata wale wa 2017.Hii ni kwa kuwa huwa inawaumiza sana sana tena sana vijana waliomaliza mwaka 2015 na 2016 wanajikuta wamekosa ajira halafu aliyemaliza hata mwaka haujaisha anapata ajira na kwa masomo yale yale ambayo amesomea huyu wa 2015 na 2016.

Naamini serikali yako Mheshimiwa Rais italizingatia jambo hilo,Embu fikiria hata wewe Rais wetu ambaye ni Mzazi Mwenye huruma kama unavyofahamika na wengi unaweza jisikiaje Mtoto wako amemaliza Ualimu 2015 au 2016 na hajapata ajira mpaka leo hiiiii, licha ya kuwa na ufaulu mzuri na kukidhi vigezo vyote na ulimsomesha kwa shida ,taabu na mateso makubwa.Halafu anakuja anapata ajira wa juzi juzi tu na kwa masomo yaleyale na ufaulu ule ule.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mpo kazin kutengeneza chawa wapya
 
W
Ndugu zangu Watanzania,

Uongozi ni kugusa maisha ya watu,ni kuleta tabasamu,furaha , matumaini kwenye maisha ya watu,ni kufanikisha na kuwezesha kutimizwa kwa ndoto za watu,ni kukidhi matarajio na kukata kiu ya watu,Ni kuwapa watu vicheko vya furaha na kuacha alama katika mioyo ya watu.

Uchapakazi na Uongozi wa Rais Samia umeonekana kuwakosha ,kuwagusa na kukonga mioyo ya vijana wengi sana waliomaliza kidato cha sita,ambapo imepelekea wengi wao kutafuta kadi za CCM usiku na mchaka ili waweze kuwa wanachama wa CCM kama sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia ,ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Vijana ambao nimekutana nao wameongea kwa hisia kali sana kutoa shukurani zao kwa Rais Samia ,kwa hatua yake ya kufanya maamuzi magumu ya kutoa Elimu bure hadi kidato cha sita.ambapo wengi wao kulingana na vipato vya wazazi wao hawakuwa hata na matumaini kama wanaweza fika hapo isingekuwa Elimu ni bure.

Wanasema kitendo cha Rais Samia kufuta ada na michango kingine iliwafanya kuelekeza mawazo na akili zao zote katika kusoma kwa bidii sana na kufanya vyema katika masomo yao ,pasipo kuwa na hofu ya kufukuzwa na kurudishwa nyumbani kuchukua ada na michango mingine kama ilivyokuwa salama.

Katika hili nami naungana na Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi kuwa uamuzi wa kufuta ada imekuwa ni neema na nuru katikati ya giza kwa familia nyingi sana ,kwani leo hata mtoto wa maskini anakuwa na uhakika wa kupata Elimu na kutimiza ndoto zake.tofauti sisi wakati wetu tuliteketeza mali nyingi sana kuanzia mifugo hususani Ng'ombe,mashamba ,kuingia madeni kwa ajili ya kulipia ada na michango kingine iliyokuwa ni mingi na hali ya kiuchumi hususani vijijini ilikuwa mbaya sana.

Katika hili nasema Rais Samia Mama yangu na Rais wetu Mpendwa utakumbukwa na maelfu ya vijana kwa kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila shida. Kikubwa Nakuomba Sana Mheshimiwa Rais na serikali yako kuwa zinapokuwa zimetoka ajira hususani za Ualimu basi jitahidini sana kwa jicho la Huruma kuanza na wale vijana waliomaliza miaka ya nyuma hasa wale wa Mwaka 2015,2016 na hata wale wa 2017.Hii ni kwa kuwa huwa inawaumiza sana sana tena sana vijana waliomaliza mwaka 2015 na 2016 wanajikuta wamekosa ajira halafu aliyemaliza hata mwaka haujaisha anapata ajira na kwa masomo yale yale ambayo amesomea huyu wa 2015 na 2016.

Naamini serikali yako Mheshimiwa Rais italizingatia jambo hilo,Embu fikiria hata wewe Rais wetu ambaye ni Mzazi Mwenye huruma kama unavyofahamika na wengi unaweza jisikiaje Mtoto wako amemaliza Ualimu 2015 au 2016 na hajapata ajira mpaka leo hiiiii, licha ya kuwa na ufaulu mzuri na kukidhi vigezo vyote na ulimsomesha kwa shida ,taabu na mateso makubwa.Halafu anakuja anapata ajira wa juzi juzi tu na kwa masomo yaleyale na ufaulu ule ule.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wasitafute hizo kadi za CCM waliomaliza vyuo tangu 2015 wanazurura mitaani hawana ajira ndiyo iwe hao ambao hawajui hata hatima Yao mwehu kwelikwei! Mchawi we
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uongozi ni kugusa maisha ya watu,ni kuleta tabasamu,furaha , matumaini kwenye maisha ya watu,ni kufanikisha na kuwezesha kutimizwa kwa ndoto za watu,ni kukidhi matarajio na kukata kiu ya watu,Ni kuwapa watu vicheko vya furaha na kuacha alama katika mioyo ya watu.

Uchapakazi na Uongozi wa Rais Samia umeonekana kuwakosha ,kuwagusa na kukonga mioyo ya vijana wengi sana waliomaliza kidato cha sita,ambapo imepelekea wengi wao kutafuta kadi za CCM usiku na mchaka ili waweze kuwa wanachama wa CCM kama sehemu ya kumuunga mkono Rais Samia ,ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Vijana ambao nimekutana nao wameongea kwa hisia kali sana kutoa shukurani zao kwa Rais Samia ,kwa hatua yake ya kufanya maamuzi magumu ya kutoa Elimu bure hadi kidato cha sita.ambapo wengi wao kulingana na vipato vya wazazi wao hawakuwa hata na matumaini kama wanaweza fika hapo isingekuwa Elimu ni bure.

Wanasema kitendo cha Rais Samia kufuta ada na michango kingine iliwafanya kuelekeza mawazo na akili zao zote katika kusoma kwa bidii sana na kufanya vyema katika masomo yao ,pasipo kuwa na hofu ya kufukuzwa na kurudishwa nyumbani kuchukua ada na michango mingine kama ilivyokuwa salama.

Katika hili nami naungana na Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi kuwa uamuzi wa kufuta ada imekuwa ni neema na nuru katikati ya giza kwa familia nyingi sana ,kwani leo hata mtoto wa maskini anakuwa na uhakika wa kupata Elimu na kutimiza ndoto zake.tofauti sisi wakati wetu tuliteketeza mali nyingi sana kuanzia mifugo hususani Ng'ombe,mashamba ,kuingia madeni kwa ajili ya kulipia ada na michango kingine iliyokuwa ni mingi na hali ya kiuchumi hususani vijijini ilikuwa mbaya sana.

Katika hili nasema Rais Samia Mama yangu na Rais wetu Mpendwa utakumbukwa na maelfu ya vijana kwa kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila shida. Kikubwa Nakuomba Sana Mheshimiwa Rais na serikali yako kuwa zinapokuwa zimetoka ajira hususani za Ualimu basi jitahidini sana kwa jicho la Huruma kuanza na wale vijana waliomaliza miaka ya nyuma hasa wale wa Mwaka 2015,2016 na hata wale wa 2017.Hii ni kwa kuwa huwa inawaumiza sana sana tena sana vijana waliomaliza mwaka 2015 na 2016 wanajikuta wamekosa ajira halafu aliyemaliza hata mwaka haujaisha anapata ajira na kwa masomo yale yale ambayo amesomea huyu wa 2015 na 2016.

Naamini serikali yako Mheshimiwa Rais italizingatia jambo hilo,Embu fikiria hata wewe Rais wetu ambaye ni Mzazi Mwenye huruma kama unavyofahamika na wengi unaweza jisikiaje Mtoto wako amemaliza Ualimu 2015 au 2016 na hajapata ajira mpaka leo hiiiii, licha ya kuwa na ufaulu mzuri na kukidhi vigezo vyote na ulimsomesha kwa shida ,taabu na mateso makubwa.Halafu anakuja anapata ajira wa juzi juzi tu na kwa masomo yaleyale na ufaulu ule ule.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na sikia mpaka chekechekea na funza wanao wa subiri kaburini
 
Sijasoma mada ila wanatafuta kadi ili kupata mkopo wa chuoni.

Anyway, mtoa mada una matatizo ya akili.
Unamaanisha siku hizi ili upate mkopo lazima uwe kada wa CCM?

Kama ni hivyo, kwa post yako umenikumbusha mwaka 2021 nilipotaka kujua taratibu za mikopo ya halmashauri, mama mmoja akaniambia kwa urahisi niende UVCCM, sema nilipofika pale sikuwa na kadi na ikafanya hata nisisikilizwe.
 
Back
Top Bottom