Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiki chama cha mwashambwa ndo chanzo cha kuzalisha mishoga nchi hii hebu fikiria mtoto wa kiume hawazi wala kufikiria chochote anawaza wa kuwasifia watu mara anahangaika na makonda akiona hakueleweki mara amsifie KIFUTU akikosa posho mara kakimbilia kwa nchimbi kama huyu mleta mada anachofanya anaweza kufagilia hata upumbav halafu teuzi wanapewa chadema kwa hiyo mwashambwa jipange kudeki ofisi ya msigwa na ikitokea umshukuru shetani
 
Hao vijana hata nauli ya boda hawana, watahangaika nazo wapeleke wapi?
 
Ongea yote lakini niachie ephen wangu bila kumgusa maana huyo ndio moyo wangu ulipolala na ndiye aliyeubeba ❤️ wangu
 
Acha ujinga wako na kuropoka ropoka hapa kama mlevi wa gongo.
 
kwakeli azma za vijana wengi nchini, ni kutimiza ndoto zao za maisha katika awamu hii, chini ya kiongozi wao madhubuti sana, na wanae mwamini na kumpenda mno, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan

hongera sana vijana,
Mungu akubariki sana, kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan..
 
Hizo kadi zenyewe mnalazimisha wachukue, si mnawaambia mikopo kutoka HESLB watapata wenye kadi tyuuh, Lol

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siasa kila sehemu, shida hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…