Pre GE2025 Uchapa kazi wa Rais Samia wawakosha Vijana waliomaliza kidato cha Sita, Watafuta Kadi za CCM usiku na Mchana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana wakeambiwa bila uchawa hutoboi, nao wameamua kuungamana. Taifa la hovyo kweli hili.
 
Nahitaji kadi ya ccm iambatishwe na TSH 100,000.
 
Moderator tafadhali, Uzi huu uende pale juu kwenye thread isemayo;

"Maoni ,ushauri, mapendekezo na Pongezi Kwa Rais Samia Suluhu Hassan." 🙏
 
Afu unataka na mimi nilalamike kupanda kwa bei ya sukari wakat wasomi wetu wenyewe ndo wajinga kiasi iki

Sukari na mattzo mengne mtalia na kulalamika wenyewe ila kwa mtu mwenye akili awezi lalamika wala kulia sabu anajua Majinga weng ni sisim afu ndo maskini
 
Nahisi ni mekuelewa kwa maana hiyo ajira mpya nikuwa mwana chama la Wana hahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…