UCHAWA Hadi lini? Shigongo tupumzishe na huu UCHAWA wako

UCHAWA Hadi lini? Shigongo tupumzishe na huu UCHAWA wako

amadala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
4,265
Reaction score
12,268
Hello đź‘‹
Katika nchi zinazotumia wizi kama nguzo kuu Kuna vitu very common miongoni mwao kama KUTUKUZANA, KUBANA VYOMBO VYA HABARI, KUBANA UHURU WA UMMA NA KUOGOPA KUKOSOLEWA.

Viongozi wetu wanaingia bungeni kwa lengo la kutengeneza pesa na sio kutatua shida za wananchi, HAWAPIGI KELELE KUPUNGUZA MATUMIZI YA SERIKALI NA WANAONA RAHA KUPOKEA MILLION 600 ILA WANANCHI WANAOWAONGOZA WANAKUNYWA MAJI MACHAFU.

Kwako Shigongo endelea kutunga vitabu ACHANA NA HUU UCHAWAđź”’

Ni vyema kama umemuelewa sisi wengine Bado tupo Burundi.
Screenshot_20221122-144907.jpg
 
Hello đź‘‹
Katika nchi zinazotumia wizi kama nguzo kuu Kuna vitu very common miongoni mwao kama KUTUKUZANA, KUBANA VYOMBO VYA HABARI, KUBANA UHURU WA UMMA NA KUOGOPA KUKOSOLEWA.

Viongozi wetu wanaingia bungeni kwa lengo la kutengeneza pesa na sio kutatua shida za wananchi, HAWAPIGI KELELE KUPUNGUZA MATUMIZI YA SERIKALI NA WANAONA RAHA KUPOKEA MILLION 600 ILA WANANCHI WANAOWAONGOZA WANAKUNYWA MAJI MACHAFU.

Kwako Shigongo endelea kutunga vitabu ACHANA NA HUU UCHAWAđź”’

Ni vyema kama umemuelewa sisi wengine Bado tupo Burundi.
View attachment 2424121
darasa la saba huyu achana naye! (mnisamehe wenzangu darasa la saba)
 
Back
Top Bottom