Uchawa na kutafuta trending mitandaoni kutaua elimu yetu

Uchawa na kutafuta trending mitandaoni kutaua elimu yetu

Sheikh23

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
1,175
Reaction score
1,934
Wakuu Habari ya Jumapili...

Niende moja kwa moja kwenye mada,miaka ya karibuni kumezuka mtindo mpya wa maisha ya kusifia watu Mbele ya camera na kupewa pesa,wenyewe machawa wanaita "kuokota".

Vijana wengi wamekua wakidhani hayo ni maisha halisi bila kujua scene nyingi ni maigizo,matangazo au Kiki tu.

Mbaya zaidi machawa hawa au ma_influencer wamekua wakidhihaki wasomi na usomi (ELIMU) hivyo kuaminisha vijana kua usomi hauna future (maokoto/maisha Bora) kitu ambacho sio kweli.

Rai yangu ni kuwa mentality hizi zikiachwa ziendelee kupandikizwa zitaua jitihada za vijana wetu kwenye kuisaka ELIMU.

Kama Taifa tusiruhusu vijana na jamii iamini kwenye uchawa na ujanja ujanja wa mjini kama mfumo wa kupata pesa za haraka.

Kama Taifa pia tusiruhusu watu wachache kwa umaarufu wao mitandaoni waeneze propaganda hasi zenye kudogodesha au kuua Hali ya ubunifu,kujifunza na uwajibikaji kwa jamii na kizazi chetu.

Naomba kuwasilisha....

#PINGA MACHAWA NA UCHAWA KWA MASLAHI YA TAIFA

FB_IMG_1738473762337.jpg
 
Wakuu Habari ya Jumapili...

Niende moja kwa moja kwenye mada,miaka ya karibuni kumezuka mtindo mpya wa maisha ya kusifia watu Mbele ya camera na kupewa pesa,wenyewe machawa wanaita "kuokota".

Vijana wengi wamekua wakidhani hayo ni maisha halisi bila kujua scene nyingi ni maigizo,matangazo au Kiki tu.

Mbaya zaidi machawa hawa au ma_influencer wamekua wakidhihaki wasomi na usomi (ELIMU) hivyo kuaminisha vijana kua usomi hauna future (maokoto/maisha Bora) kitu ambacho sio kweli.

Rai yangu ni kuwa mentality hizi zikiachwa ziendelee kupandikizwa zitaua jitihada za vijana wetu kwenye kuisaka ELIMU.

Kama Taifa tusiruhusu vijana na jamii iamini kwenye uchawa na ujanja ujanja wa mjini kama mfumo wa kupata pesa za haraka.

Kama Taifa pia tusiruhusu watu wachache kwa umaarufu wao mitandaoni waeneze propaganda hasi zenye kudogodesha au kuua Hali ya ubunifu,kujifunza na uwajibikaji kwa jamii na kizazi chetu.

Naomba kuwasilisha....

#PINGA MACHAWA NA UCHAWA KWA MASLAHI YA TAIFA

Ccm ndo wanapenda
 
Wakuu Habari ya Jumapili...

Niende moja kwa moja kwenye mada,miaka ya karibuni kumezuka mtindo mpya wa maisha ya kusifia watu Mbele ya camera na kupewa pesa,wenyewe machawa wanaita "kuokota".

Vijana wengi wamekua wakidhani hayo ni maisha halisi bila kujua scene nyingi ni maigizo,matangazo au Kiki tu.

Mbaya zaidi machawa hawa au ma_influencer wamekua wakidhihaki wasomi na usomi (ELIMU) hivyo kuaminisha vijana kua usomi hauna future (maokoto/maisha Bora) kitu ambacho sio kweli.

Rai yangu ni kuwa mentality hizi zikiachwa ziendelee kupandikizwa zitaua jitihada za vijana wetu kwenye kuisaka ELIMU.

Kama Taifa tusiruhusu vijana na jamii iamini kwenye uchawa na ujanja ujanja wa mjini kama mfumo wa kupata pesa za haraka.

Kama Taifa pia tusiruhusu watu wachache kwa umaarufu wao mitandaoni waeneze propaganda hasi zenye kudogodesha au kuua Hali ya ubunifu,kujifunza na uwajibikaji kwa jamii na kizazi chetu.

Naomba kuwasilisha....

#PINGA MACHAWA NA UCHAWA KWA MASLAHI YA TAIFA

Waiue mara ngapi? Ilishajifia zamani sana.
 
Kuwa Chawa ni fursa mjini, vijana waliochangamkia fursa hio wameitumia kama njia ya kutoboa na wengi wamefanikiwa kupata maisha mazuri tu. Kumsifia mtu sio kosa la jinai kisheria hilo lifahamike wazi.

Changamoto ni kwamba uchawa ni kazi ambayo ina elements za udhalilishaji utu isipokuwa rewards zake huonekana ni kubwa kuliko hata aibu inayoambatana na uchawa ndio maana vijana wameamua kuvalia miwani za mbao.

Kama unaweza kujitoa ufahamu ukawa kwenye payroll za makampuni mbali mbali wanaohitaji huduma za Marketing and Branding na ukawa unapokea million zako mbili tatu kwa kila kampuni ukiwa nazo 10 kwanini usifanikiwe? Bado social media zingine zinakulipa kwa subscriptions kupitia content creations. Tusiwabeze
 
Back
Top Bottom