Uchawa ni janga linaloitafuna nchi kimaadili

Uchawa ni janga linaloitafuna nchi kimaadili

Joined
Jul 6, 2024
Posts
97
Reaction score
72
UCHAWA NI JANGA LINALOITAFUNA NCHI KIMAADILI

Sisi tuendelee na kukemea Uchawa kwanza. Mifumo ya nchi inavurugika kutokana na Uchawa. Mtu Akiwa chawa anakuwa ameukana Uzalendo wake kwa nchi. Tuutokomeze Uchawa ili watu waone fahari kujiita ndugu au Comrade.

Tukifaulu hapa Watu watasoma Ilani, Katiba, Kanuni, Miongozo na Taratibu. Watu watajisikia fahari kutetea vitu hivyo kuliko Sasa. Wakimuona mtu anakumbushia vitu hivyo kwa uchawa wao wanamuona Mshamba
Wanaamini kwenye Ubinafsi na uchoyo Kuliko ujamaa. Tusichoke kutoa Elimu.

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara 07 Kisha ibara 08 (1)(2)(6) ibara yote ya 15 ibara 12(1)(a) ili kwenda uk 152 Ahadi za Mwanaccm tukihitimisha na ilani uk 01 ibara 04 na uk 08 ibara 10 na 11

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa kahinga
 
UCHAWA NI JANGA LINALOITAFUNA NCHI KIMAADILI

Sisi tuendelee na kukemea Uchawa kwanza. Mifumo ya nchi inavurugika kutokana na Uchawa. Mtu Akiwa chawa anakuwa ameukana Uzalendo wake kwa nchi. Tuutokomeze Uchawa ili watu waone fahari kujiita ndugu au Comrade.

Tukifaulu hapa Watu watasoma Ilani, Katiba, Kanuni, Miongozo na Taratibu. Watu watajisikia fahari kutetea vitu hivyo kuliko Sasa. Wakimuona mtu anakumbushia vitu hivyo kwa uchawa wao wanamuona Mshamba
Wanaamini kwenye Ubinafsi na uchoyo Kuliko ujamaa. Tusichoke kutoa Elimu.

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara 07 Kisha ibara 08 (1)(2)(6) ibara yote ya 15 ibara 12(1)(a) ili kwenda uk 152 Ahadi za Mwanaccm tukihitimisha na ilani uk 01 ibara 04 na uk 08 ibara 10 na 11

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa kahinga
Uchawa ndio nini kwani?
 
UCHAWA NI JANGA LINALOITAFUNA NCHI KIMAADILI

Sisi tuendelee na kukemea Uchawa kwanza. Mifumo ya nchi inavurugika kutokana na Uchawa. Mtu Akiwa chawa anakuwa ameukana Uzalendo wake kwa nchi. Tuutokomeze Uchawa ili watu waone fahari kujiita ndugu au Comrade.

Tukifaulu hapa Watu watasoma Ilani, Katiba, Kanuni, Miongozo na Taratibu. Watu watajisikia fahari kutetea vitu hivyo kuliko Sasa. Wakimuona mtu anakumbushia vitu hivyo kwa uchawa wao wanamuona Mshamba
Wanaamini kwenye Ubinafsi na uchoyo Kuliko ujamaa. Tusichoke kutoa Elimu.

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara 07 Kisha ibara 08 (1)(2)(6) ibara yote ya 15 ibara 12(1)(a) ili kwenda uk 152 Ahadi za Mwanaccm tukihitimisha na ilani uk 01 ibara 04 na uk 08 ibara 10 na 11

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa kahinga
Waendelee tu na uchawa wao, hata wakiwa kunguni au viroboto ni sawa tu ili wapate ugali wao kwa kutweza utu wao.
 
Ajira hakuna mkuu. Kutwa nzima tunaunga mabando na kuchungulia Ajira portal kama kuna updates. Vijana wameamua kuwa chawa huenda watakumbukwa. Uchawa ni kujikatia tamaa, ndio tulipofikia
 
UCHAWA NI JANGA LINALOITAFUNA NCHI KIMAADILI

Sisi tuendelee na kukemea Uchawa kwanza. Mifumo ya nchi inavurugika kutokana na Uchawa. Mtu Akiwa chawa anakuwa ameukana Uzalendo wake kwa nchi. Tuutokomeze Uchawa ili watu waone fahari kujiita ndugu au Comrade.

Tukifaulu hapa Watu watasoma Ilani, Katiba, Kanuni, Miongozo na Taratibu. Watu watajisikia fahari kutetea vitu hivyo kuliko Sasa. Wakimuona mtu anakumbushia vitu hivyo kwa uchawa wao wanamuona Mshamba
Wanaamini kwenye Ubinafsi na uchoyo Kuliko ujamaa. Tusichoke kutoa Elimu.

Tusome Katiba ya CCM 1977 toleo 2022 ibara 07 Kisha ibara 08 (1)(2)(6) ibara yote ya 15 ibara 12(1)(a) ili kwenda uk 152 Ahadi za Mwanaccm tukihitimisha na ilani uk 01 ibara 04 na uk 08 ibara 10 na 11

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Mathias Mugerwa kahinga
Ngoja aje yule chawa mwandamizi Lucas Mwashambwa
 
Ajira hakuna mkuu. Kutwa nzima tunaunga mabando na kuchungulia Ajira portal kama kuna updates. Vijana wameamua kuwa chawa huenda watakumbukwa. Uchawa ni kujikatia tamaa, ndio tulipofikia
Kama anavyofanya chawa Lucas Mwashambwa
 
Maana rahisi kabisa ni kama ulivyo wewe, Tlatala na Mwashambwa. Ukiwa hivyo ndiyo unaitwa chawa.

Chawa ni mtu asiyeutumia ubongo wake kufanya analysis yoyote ile. Yeye anachojua ni kumsifia tu mtu bila ya kujali huyo anayemsifia amefanya vyema au vibaya.
Umenena vema mkuu.
 
Maana rahisi kabisa ni kama ulivyo wewe, Tlatala na Mwashambwa. Ukiwa hivyo ndiyo unaitwa chawa.

Chawa ni mtu asiyeutumia ubongo wake kufanya analysis yoyote ile. Yeye anachojua ni kumsifia tu mtu bila ya kujali huyo anayemsifia amefanya vyema au vibaya.
Tangu lini kumsifia mtu aliyefanya vyema ikawa uchawa?

Kwamba hiyo ndio definition ya uchawa? Kwa mfano kumsifia Samia Kwa kufanya jambo hili la kuvuka malengo ya kuboresha Barabara za Vijijini kama.yalivyowekwa kwenye ilani ndio uchawa wenyewe au? 😂😂👇👇

View: https://x.com/dailynewstz/status/1830916917642567971?t=oI9mruzZGoQX5PWH44EfZw&s=19
 
Back
Top Bottom