Uchawa sio uzalendo; tuweke hili sawa

Uchawa sio uzalendo; tuweke hili sawa

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Uchawa ni utaratibu wa kujipendekeza ili kujinufaisha. Hii ni tabia ya kinafiki ya kukuza wanao kusaidia kwa kupandisha ego zao ili waendelee kuishi kwa kufikiri wenyewe ni wa maana hata kama sio hivyo. Kibaya ni pale ambapo hata vyombo vya sheria na kiusalama wamekuwa machawa.

Ali Kiba alisema Wakenya ni wazalendo kuliko sisi na yuko sawa. Watu wangapi wapo proud na mfumo na viongozi wetu wabinafsi.

Alisema Kenya watu wanaweka password Kenya kwanza! Vijana wangapi wanafikiria Tanzania kwanza. Wengi hasa viongozi kwao Tanzania shamba la bibi.
 
Alafu huu ujinga umeanza awamu ya mwenda zakee,awamu ya jk kurudi nyuma huu upuuzi haukuwepo ,sema CCM baadaa yakushindwa kuzalisha ajira mpya zakufanya kazi taifa lisonge ,wameamua kuanzisha kitengo Cha kusifiana ...
FB_IMG_1712242423877.jpg
 
Back
Top Bottom