mtetezi wa MAGU
Member
- Dec 15, 2022
- 18
- 128
Hakuna jambo linaondoa UTU WA MTU kama hichi kinachoitwa uchawa,Uchawa ndani yake umeficha maovu,umeficha ukweli,umeficha uzalendo na umeficha uMungu,kwa tafsiri ya chawa ni mtu aliyetayari kutokemea uovu au jambo lisiloenda sawa kwa sababu tu ananufaika.
Chawa akimganda mtu haijalishi aliyegadwa anaumia kiasi gani bali chawa anaangalia maslahi yake binafsi ni jinsi gani ataendelea kufyonza Damu,hasara za Uchawa kwa vijana ni kubwa sio tu kwa vijana Bali kwa Taifa kwa ujumla.Hata ma kanisani kuna uchawa sikuhizi,ifike mahali uchawa uwe ni dhambi kama ilivyo dhambi ya Uzinzi....
Chawa akimganda mtu haijalishi aliyegadwa anaumia kiasi gani bali chawa anaangalia maslahi yake binafsi ni jinsi gani ataendelea kufyonza Damu,hasara za Uchawa kwa vijana ni kubwa sio tu kwa vijana Bali kwa Taifa kwa ujumla.Hata ma kanisani kuna uchawa sikuhizi,ifike mahali uchawa uwe ni dhambi kama ilivyo dhambi ya Uzinzi....