Uchawi huu wa kisambaa ni noma

Nahisi utakuwa na ujuzi zaidi ya huuu ulioweka, hii itakuw subset tu ya capabilities zako....nijuze

Naomba niwe mkweli katika hili egentle, uchawi nilifanya zamani hata kabla sijajiunga na JF, Baadae nikaona natesa watu bila sababu na faida sipati, siku moja nuru ikaniangazia nikatubu na kuokoka nikachukua zana zangu zote na kuzichoma mimi mwenyewe

Huu ni ukweli ambao nauweka wazi leo hapa jamvini, kwasasa sifanyi tena hiyo kazi na nimejitenga na chochote kinachohusiana na uchawi, nimekuwa mtu mwema na hata maisha yangu yamekuwa na amani

Kuna siku niliweka picha ya tunguli hapa JF photos! Zilikuwa zana zangu zile ila kwasasa mimi ni wa KRISTO
 
Last edited by a moderator:

Naomb Url ya hiyo post mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mie uchawi ninao upenda ni ule wa Kupika kilo 10 za mchele na 2 za nyama kwenye msiba/sherehe halafu wanakula watu wote watakao hudhuria tukio hilo. Iwe watu 100 au 500 au 1000 na zaidi ya hapo wote wanakula.
Nililiona hilo kwa mzee mmoja wa Kirangi alishafariki miaka ya mwishoni mwa 90's basi kwenye matukio kama hayo alitumika sana.
 

Ule upo pia na ule mwingine wa kupika chakula kisiive kutwa kucha
 
Inamaana huu uzi Fauzafokox cjui hajauona au hana mb za kuingia huku
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
[emoji3] [emoji23] [emoji115] watu mabingwa wa kufufua makaburi, uzi wa miaka 3 iliyopita huu
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] maandishi hayafutiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…