Jambo Tz
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 670
- 203
Hii inatokea sana kwa walimwengu wa leo walio na dini na wasio na dini,
hapa kwetu kwa mfano kuna jamaa anauwezo wa kuongea na wadudu hasa wale wakali Nyoka, Nyuki Nk
kutokana na uwezo huo amejipatia ajira na analipwa Malaki kwa shughli hiyo
je? Kwa matumizi hayo ya uchawi nifaida ama hasara kwani hata viongozi wakubwa siku za kampeni haweshi kwa Sanguoma mwisho wa siku haoo wanakaa bungeni
hapa kwetu kwa mfano kuna jamaa anauwezo wa kuongea na wadudu hasa wale wakali Nyoka, Nyuki Nk
kutokana na uwezo huo amejipatia ajira na analipwa Malaki kwa shughli hiyo
je? Kwa matumizi hayo ya uchawi nifaida ama hasara kwani hata viongozi wakubwa siku za kampeni haweshi kwa Sanguoma mwisho wa siku haoo wanakaa bungeni