Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Kabla ya mwili na nafsi ya Mwanadamu kuumbwa kwanza iliumbwa roho ya mtu.
Mwanadamu ni kiumbe cha kiroho chenye mwili. Mwanadamu anaishi ulimwengu wa roho (Spiritual realm) na ulimwengu wa mwili (Physical realm) kwa wakati mmoja.
Spiritual realm is faster than Physical realm. So spirituality matter more. Jinsi ya kuwa kiumbe cha kiroho? Jinsi ya kuongeza cheo au nguvu za kiroho?
Mtu yoyote anaweza kuwa wa kiroho hata kama unamjua Mungu wa kweli au humjui lakini unaweza kufundishwa mambo ya kiroho na ukawa mtu wa rohoni sana.
it needs information or I can say knowledge.
The one who conquer you in the spiritual realm is also conquer you in the physical realm. Aliyekuzidi katika ulimwengu wa roho tayari kakuzidi na katika ulimwengu huu wa mwili.
Ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho kote utazikuta falme hizi mbili... Ufalme wa nuru na ufalme wa giza. Tukisema nuru na giza hatumaani kuwepo au kokosekana kwa Mwanga.
Two Kingdoms
1. Ufalme wa nuru (mema)
2. Ufalme wa giza (mabaya)
The fruit of knowledge of God and Evil. Changua ufalme mmoja to attract wealth 🤑
Tunaendelea na majibu **********
Mwanadamu ni kiumbe cha kiroho chenye mwili. Mwanadamu anaishi ulimwengu wa roho (Spiritual realm) na ulimwengu wa mwili (Physical realm) kwa wakati mmoja.
Spiritual realm is faster than Physical realm. So spirituality matter more. Jinsi ya kuwa kiumbe cha kiroho? Jinsi ya kuongeza cheo au nguvu za kiroho?
Mtu yoyote anaweza kuwa wa kiroho hata kama unamjua Mungu wa kweli au humjui lakini unaweza kufundishwa mambo ya kiroho na ukawa mtu wa rohoni sana.
it needs information or I can say knowledge.
The one who conquer you in the spiritual realm is also conquer you in the physical realm. Aliyekuzidi katika ulimwengu wa roho tayari kakuzidi na katika ulimwengu huu wa mwili.
Ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho kote utazikuta falme hizi mbili... Ufalme wa nuru na ufalme wa giza. Tukisema nuru na giza hatumaani kuwepo au kokosekana kwa Mwanga.
Two Kingdoms
1. Ufalme wa nuru (mema)
2. Ufalme wa giza (mabaya)
The fruit of knowledge of God and Evil. Changua ufalme mmoja to attract wealth 🤑
Tunaendelea na majibu **********