Uchawi umedunda kwa Ally Kiba

Mjanja unatoa kiingilio elfu 3 na bia juu moja unapoingia.Ni sawa na kuingia kwa sh 5 tena ile ya zamani.Mnxxxxxuu

Dar kumejaa mafukara na masikini wa kutupwa wanaoshindia mihogo ya kukaanga na miguu ya kuku.. Hao ndio hawampendi Diamond kwa sababu ana pesa
 
mbeya hamna hoteki yenye hadhi yake ?!&
kweliii diamond amekosea
 
Ally kibba aliwafunika diamond, davido na T.I na hata angekuwepo lady JD ungemfunika.ila hao waliokushangilia jana Leo hii wamekaa majumbani mwao wanasikiza nyimbo za davido,diamond na lady JD.wewe walishakupa kisogo jana
 
Breakng news. Baraza la sanaa BASATA limesimamisha tamasha la fiesta linaloratibiwa n clouds media kwa mda wa miaka 5 baada ya kukaidi amri ya mahakama ya kutomtumia msanii wa nigeria Davido ktk tamasha hilo baada ya kupokea pingamizi kutoka times fm mbali na amri hiyo pia msanii huyo aliperform bila kuwa n kibali kutoka BASATA.
 
We kweli hujielewi jana usiku ulikuwa unasema upo fiesta Leo upo kigoma

We fukara mi sio level yako.. Mi usafiri wangu ni Ndege Fast Jet ndani ya dakika chache nimeshafika ninakokutaka, usinifananishe na wachimba chumvi wenzako
 
Pole mheshimiwa Diamond ( kama kweli ulizomewa maana ckuwepo )....
 
Ally kibba aliwafunika diamond, davido na T.I na hata angekuwepo lady JD ungemfunika.ila hao waliokushangilia jana Leo hii wamekaa majumbani mwao wanasikiza nyimbo za davido,diamond na lady JD.wewe walishakupa kisogo jana
Upo sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…